• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Usafi na Mazingira

UTANGULIZI.

Idara ya Usafi na Mazingira ni moja kati ya Idara zinazounda halmashauri ya Wilaya ya Hai. .Jukumu kubwa la Idara ni pamoja na usimamizi wa shughuli za Usafi  na uhifadhi wa Mazingira kwa lengo la kudhibiti na kuzuia kuenea kwa magonjwa yatokanayo na uchafu na kudhibiti uharibifu wa Mazingira.Hii ni katika kuboresha ustawi wa jamii ili kuleta maendeleo kwa wananchi.

KAZI ZA IDARA.

  • Kusimamia Usafi wa Majengo, Maeneo ya Wazi, Barabara na Mifereji.
  • Kusimamia na kuratibu Usafirishaji, Uchambuzi na Utupaji wa taka ngumu katika eneo rasmi (Dampo)
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria zinazohusu Afya ya mazingira.
  • Kusimamia udhibiti wa uchafuzi wa mazingira, Ardhi, Maji, Hewa na Sauti katika makazi.
  • Kusimamia utunzaji wa Mazingira na upandaji wa Miti na upendezeshaji wa Mazingira
  • Kufanya tathimini ya athari za Mazingira katika shughuli mbalimbali za maendeleo.
  • Kukusanya na kuchambua takwimu za Afya ya Mazingira.
  • Kuelimisha jamii juu ya mbinu za kujikinga na kupambana na magonjwa ya mlipuko.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2020 (WASICHANA) December 06, 2019
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2020 (WAVULANA) December 06, 2019
  • Majina ya Waombaji wa nafasi ya BVR Kit Operator July 10, 2019
  • Matokeo ya Kidato cha Sita - Shule ya Sekondari Harambee July 12, 2019
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Watumishi wa Umma Wilayani Hai Watakiwa Kutafuta Suluhu ya Changamoto kwa Kushirikiana

    December 12, 2019
  • Mkurugenzi Wilaya ya Hai Awataka Watumishi Kuheshimiana

    December 02, 2019
  • Mkuu wa Mkoa Ampongeza DC Vyanzo vya Mapato Wilaya ya Hai

    November 29, 2019
  • Serikali Wilayani Hai Yaridhishwa na Utendajikazi wa Jeshi la Polisi

    November 27, 2019
  • Ona Yote

Video

Mwenge wa Uhuru 2019
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2018 Shule za Wilaya ya Hai
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2018 Mkoa wa Kilimanjaro
  • MAtokeo ya Darasa la Saba 2018 Mikoa Yote
  • Planrep
  • TANEPS
  • Majukumu Ya Meya/Mwenyekiti wa Halmashauri,Madiwani,Viongozi wa Vijiji,Mitaa na Vitongoji.
  • Blog ya Wilaya
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili 2017
  • Mikopo kwa Wanawake na Vijana

Viunganishi Vinavyohusiana

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri nje ya nchi

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi: 0752195133

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai