UTANGULIZI.
Idara ya Usafi na Mazingira ni moja kati ya Idara zinazounda halmashauri ya Wilaya ya Hai. .Jukumu kubwa la Idara ni pamoja na usimamizi wa shughuli za Usafi na uhifadhi wa Mazingira kwa lengo la kudhibiti na kuzuia kuenea kwa magonjwa yatokanayo na uchafu na kudhibiti uharibifu wa Mazingira.Hii ni katika kuboresha ustawi wa jamii ili kuleta maendeleo kwa wananchi.
KAZI ZA IDARA.
Kitongoji cha Bomani
Anuani ya Posta: 27 Hai
Simu: 0272758441
Simu ya Mkononi: 0752195133
Barua Pepe: ded@haidc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai