• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Serikali Wilayani Hai Imeagiza Kujengwa Madarasa Matatu Shule Iliyokumbwa Na Tetemeko

Imetumwa: December 3rd, 2021

Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Juma Said Irando ameagiza kujengwa madarasa matatu katika shule ya msingi Nsongoro iliyopo kata ya Masama magharibi, kabla ya mwezi Januari mwaka 2022 baada ya shule hiyo kukumbwa na tetemeko la ardhi mwezi Novemba 2021.

Irando ametoa agizo hilo Nov 30 2021, alipotembelea na kukagua miundombinu ya shule hiyo kongwe ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru na kumtaka mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dionis Myinga kuhakikisha ujenzi huo unaanza mara moja kupitia fedha za mapato ya ndani.

“Nichukue fursa hii kukuelekeza mkurugenzi na bahati nzuri mkiti wa halmashauri naye yupo hapa, kupitia fedha zetu za maendeleo tuanze ujenzi wa madarasa matatu hapa katika shule hii tunafanya hivyo tukijua pia muda ni mfupi kwahiyo tuwe haraka katika hili, kwahiyo mkiti na mkurugenzi tuangalie katika mapato yetu ya ndani madarasa yajengwe hapa kabla ya mwezi wa kwanza” alisema DC Irando na kuongeza kuwa.

“Kwahiyo natumai hilo litakuwa limekidhi tatizo kubwa katika kijiji chetu cha Mashua na katika sherehe hizi za miaka 60 ya Uhuru tutakuwa tumeweka alama katika kijiji hiki cha Mashua, shule hii ni kongwe imeanzishwa mwaka 1960 inahitaji kujengwa upya uchakavu wake ni mkubwa wadau wote wa elimu tunawaomba pia muweze kushiriki kusaidia kutatua changamoto kubwa iliyopo katika shule hii”.

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Edmund Rutaraka ameeleza kuwa pamoja na kuomba fedha kutoka Serikali kuu kwa ajili ya utatuzi wa changamoto ya miundombinu ya shule za msingi zilizopo wilaya ya Hai bado shule nyingi za msingi wilayani humo ni chakavu na zinahitaji kujengwa hivyo mkakati uliopo ni kuhakikisha kuwa wanaweka kipaumbele katika kuboresha miundombinu ya shule hizo.

“Tumepanga kuanzia mwakani 2022 kupitia mapato yetu ya ndani tuweke kipaumbele kwenye kurekebisha hizi shule zetu, siyo Mashua tu hapa ndiyo mbovu shule karibia zote kwenye Halmashauri yetu mbovu”

Naye katibu tawala wilaya ya Hai Upendo Wella ametoa rai kwa wananchi kujitolea kwa kuchangia nguvu kazi katika ujenzi wa madarasa ikiwa ni ishara ya kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai