• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Baraza La Ardhi Lazinduliwa Wilaya Ya Hai

Imetumwa: May 4th, 2023

Serikali mkaoni Kilimanjaro Wilayani Hai imefanikisha zoezi la kuwaapisha wajumbe wa  Baraza la Ardhi na Nyumba pamoja na uzinduzi wa Ofisi za baraza hilo.

 Akizindua baraza hilo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mei 4, 2023 Mhe. Nurdin Babu amesema      kuwa, ufanyaji kazi kwa kufuata  maadili             kwa wajumbe wa baraza hilo   utasaidia  kukamilika kwa wakati            mashauri   mbalimbali  ya wananchi         yanayohusu ardhi na     nyumba  ambapo hapo awali wananchi wa wilaya ya Hai walikua           wakitumia muda mrefu pamoja na gharama kubwa kusafiri hadi wilaya ya Moshi  kufuatilia haki zao.

Babu ameongezea kwakusema kua uteuzi wa wajumbe hao umezingatia utumishi na uelewa thabiti wa watumishi hao kisheria na katika usuluhishi wa ardhi na nyumba katika jamii tofautitofauti zinazopatikana katika wilaya hio na kuwataka Wajumbe  hao .

Kufanya kazi kwa ufanisi na kufuata sheria za ardhi na kuhakikisha  kuwa wanatoa haki na usawa kwa kila mwananchi.    

Vilevile    amefafanua kuwa, serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh. Dk. Samia    Suluhu Hassan  imedhamiria kusogeza    karibu huduma za usuluhishi kwa jamii jambo ambalo  pia litasaidia   kupunguza gharama     kwa wananchi na  kutafuta haki zao kwa urahisi na kwa muda mfupi zaidi.

Ameongeza: "Wajumbe  mnaoapishwa leo hii       mmepewa      dhamani kubwa kuhakikisha kuwa        mnatatua migogoro ya wananchi  wote   bila kujali   itikadi zao, udini wala ukabila, kwani Serikali              inatarajia    mabadiliko  makubwa ya kuondoa  changamoto ya ardhi na nyumba        katika  maeneo yote     nchini," Alisema     Babu.

 "Mwenyekiti pamoja  na wajumbe wako mashauri  yanapofika  yatatuliwe           kwa   muda mfupi na kwa ‘haki’, haipendezi        kurundika mashauri bila sababu za msingi,"alisisitiza Mkuu wa Mkoa.

Babu alisema  kati ya  asilimia 40% mpaka 60% ya mashauri  yanayopokelewa katika ofisi za wakuu wa Wilaya na ofisi ya Mkuu wa Mkoa  yanatokana  na ardhi na nyumba. Hivyo uanzishwaji wa    Baraza hilo utasaidia 

kupunguza mrundikano wa mashauri   katika ofisi za watendaji na    badala  yake             watafanya kazi zingine za    kusimamia shughuli za kimaendeleo kwa maslai ya    umma.

Babu  amesema hayo wakati          alipokua akiwaapisha wajumbe hao (4)      watakao husika na   usuluhishi pamoja na utoaji haki Wilayani Hai katika baraza hilo wakiongozwa na mwenyekiti wa baraza

Matangazo

  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2023 WILAYA YA HAI November 23, 2023
  • MAJINA YA WALIOITWA USAHILI NAFASI ZA JESHI WILAYA YA HAI September 06, 2023
  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mhe Kaijage Awataka Watumishi Kufanya Kazi Kwa Bidii

    November 22, 2023
  • Mkalipa Ataka Viongozi Wa Dini Kufundisha Waumini

    November 08, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Sanya Station Washukuru Ulipwaji Wa Fidia

    October 25, 2023
  • Mkurugenzi Dionis Myinga Aishukuru Kambele Kwa Msaada Wa Sementi

    October 23, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai