• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mifugo na Uvuvi

Majukumu ya Idara ya mifugo na uvuvi

  • Kuwatembelea wafugaji ili kutoa ushauri wa kitaalam katika maeneo yao ya kazi.
  • Kutoa chanjo ya kichaa cha mbwa na paka.
  • Kukagua nyama katika machinjio ya yote yaliyopo katika Wilaya ya Hai saa 1:00 asubuhi baada ya kuchinja kila siku.
  • Kutoa matibabu ya mifugo na kufanya uchunguzi wa ugonjwa.
  • Ukaguzi wa afya ya mifugo na mazao yake
  • Utambuzi wa magonjwa, ufuatiliaji na utoaji wa kinga
  • Kutoa ushauri na elimu bora juu ya mifugo
  • Kuandaa taarifa za idara za mwezi, robo mwaka na mwaka
  • Kufuatilia na kutekeleza miradi ya maendeleo ngazi ya kata na Halmashauri
  • Kufanya utambuzi na usajili wa mifugo na kuhuisha takwimu za mifugo
  • Kusimamia sheria ya uvuvi namba 22 ya mwaka 2003 na kanuni zake za mwaka 2009.
  • Kutoa elimu ya kisasa juu ya ufugaji wa samaki.


Wilaya ina majosho 10 na vituo 10 vya afya ya Mifugo, kliniki 1 ya mifugo, vituo 20 vya kukusanyia maziwa, mnada 1 wa Mifugo na machinjio 1. Katika kuboresha lishe ya wananchi Wilaya ina mabwawa 53 ya samaki wa aina mbalimbali.

 Idadi ya wafugaji waliopata mafunzo ya ufugaji bora imeongezeka kutoka 6,340 mwaka 2015 hadi 23,725 mwaka 2018, idadi ya mitamba iliyozalishwa na kusambazwa imeongezeka kutoka 477 mwaka 2015 hadi 2,234 mwaka 2018; idadi ya wafugaji waliopata elimu juu ya ufugaji bora wa ng’ombe wa maziwa imeongezeka kutoka 1,340 hadi 4,433. Vituo vya kukusanyia maziwa vimeongezeka kutoka 11 hadi 31. Jumla ya mifugo 256,529 imepatiwa chanjo ya kuzuia magonjwa. Wilaya imetekeleza agizo la serikali la kupiga chapa ng’ombe na kufanikiwa kwa asilimia 102% kwa kupiga chapa jumla ya ng’ombe 32,470.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA FUNDI MKUU UJENZI March 17, 2023
  • KUITWA KAZINI January 23, 2023
  • TANGAZO LA KAZI, MKUSANYA MAPATO NA MTEKNOLOJIA MSAIDIZI DAWA January 24, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA January 25, 2023
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Madiwani Wakumbushwa Kusimamia Kimalifu Usimamizi Wa Mazingira

    March 10, 2023
  • TASAF Wilaya Ya Hai Yatoa Vifaa Vya Milioni 162

    March 06, 2023
  • Chama Cha Mapinduzi Chaahidi Kuendelea Kushirikiana Na Jeshi La Polisi Hai

    March 01, 2023
  • Kata Ya Masama Kusini Yaanza Ujenzi Wa Shule Ya Sekondari

    March 01, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai