• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Hai Yaadhimisha Siku Ya Usafishaji Mazingira Kwa Kufanya Usafi

Imetumwa: September 20th, 2025


Wilaya ya hai imeadhimisha siku ya usafishaji kimataifa ambayo huadhimishwa kila ifikaspo jumamosi ya wiki ya tatu ya mwezi wa tisa,ambapo wananchi  wamehimizwa  kuzingatia usafi kwa kufanya usafi katika mazingira yanayowazunguka

Hayo yamebainishwa na kaimu mkuu udhibiti wa taka na usafi wa mazingira Alfred Njegite,alipokuwa  akizungumza mara baada ya kumalizika kwa zoezi la kufanya usafi katika mto sanya kuanzia katika daraja lililopo  nyuma ya kanisa katoliki hadi daraja lililopo eneo la  barabara kuu ya Moshi Arusha maeneo ya sheli ya mtoni wilayani Hai.

Ameeleza kuwa lengo la kufanya usafi katika eneo la mto huo ni kuweka mazingira ya mto huo katika hali ya usafi lakini pia kuwakumbusha wananchi kuwa eneo hilo si sehemu ya kutupa taka bali linapaswa kuwa safi kila wakati.

Naye Julius Sway mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo wa Hai amesema kuwa zoezi la ufanyaji usafi katika mazingira yanayotuzunguka,  yasisubiri kufanyiwa usafi wakati wa maadhimisho ya siku ya usafi, bali zoezi la usafi wa mazingira liwe desturi yetu kila wakati.

Naye mwenyekiti wa mtaa wa Uzunguni  Andason Somi amewataka wakazi wa eneo hilo ambalo ndiko mto huo unapopita, kuhakikisha wanatunza mazingira kwa kuepula kutupa taka katika mto huo,kwani endapo mwananchi yeyote atakayebainika akitupa taka katika mto huo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake  ikiwa ni pamoja na kulipa faini ya shilingi elfu hamsini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mkuu Wa Eialya Ya Hai Aagiza Uchonguzi Chanzo Cha Moto Nronga

    September 26, 2025
  • Mkuu Wa Mkoa Wa Kilimnjaro Aridhishwa Na Utekelezaji Wa Miradi

    September 25, 2025
  • Hai Yaadhimisha Siku Ya Usafishaji Mazingira Kwa Kufanya Usafi

    September 20, 2025
  • Maafisa Ugani 50 Wakabidhiwa Vishkwambi

    September 19, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai