• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

DC Asitisha Wanafunzi Kusimamishwa Masomo

Imetumwa: September 9th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengei Ole Sabaya amesitisha mpango wa kuwasimamisha masomo wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Moshi kilichopo kwenye Kata ya Bondeni wilayani Hai.

Akizungumza na wanafunzi na uongozi wa chuo hicho Sabaya amemtaka Mkuu wa Chuo hicho kusitisha zoezi la kuwafukuza masomo wanafunzi hao au kujaribu kuwalipisha tena ada ambayo walishalipa.

Amesema kumetokea upotevu wa fedha za chuo zilizolipwa na wanafunzi lakini bado hazionekani kwenye akaunti ya chuo kutokana na muundo wa uongozi kuwa na kasoro na kwamba upotevu huo hauwahusu wanafunzi ambao wameshatimiza wajibu wao wa kulipa fedha hizo.

“Nakuelekeza Mkuu wa Chuo; usifukuze mwanachuo hata mmoja na wala wasilipe fedha mara ya pili kwa sababu muundo wa uongozi wa chuo chenu una kasoro na ndio maana kumetokea upotevu” amesema.

Naye Mkuu wa Chuo hicho Fredrick Akyoo amemthibitishia Mkuu wa Wilaya kuhusu upotevu wa fedha hizo akibainisha kuwa mnamo Septemba 2018 wanafunzi walimpatia fedha Mhasibu wa chuo hicho zaidi ya shilingi milioni 6 zikiwa ni malipo ya ada ya masomo.

Aidha Akyoo amemweleza Mkuu wa Wilaya kuwa mhasibu huyo ameweza kutengeneza stakabadhi 380 za malipo hewa alizowagawia wanafunzi waliolipia fedha kwake ambazo kati ya shilingi millioni 60.2 ni shilingi millioni 5 tu ndizo zinazoonekana kuingia kwenye akaunti ya chuo.

Anasema wanafunzi walilipa fedha hizo mkononi kwa mhasibu na sio kwenye akaunti ya chuo kwa makubaliano ya kupatiwa risiti zikisha kuwa tayari hivyo kufanya iwe rahisi fedha hizo kupelekwa kwenye matumizi tofauti na ya chuoni hapo.

Kwa upande mwingine, baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho walioathiriwa na mkasa huo wamesema kuwa wamekuwa wakipeleka malipo ya ada kwa mhasibu wa chuoni hapo ambaye amekuwa akiwapatia stakabadhi za malipo hayo.

Mkuu wa Wilaya ya Hai ameingilia sakata hili baada ya wanafunzikutaka kuandamana hadi ofisini kwake kumuomba awasaidie kupata haki yao ikiwemo kutorudishwa nyumbani lakini pia kutolipa upya malipo ya ada.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai