• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Kamati ya Lishe Wilaya ya Hai Yatakiwa Kuelimisha Jamii

Imetumwa: September 14th, 2018

IMEELEZWA kuwa tatizo la utapia mlo limekuwa likiathiri jamii ya kitanzania hasa watoto ambao ni tegemeo kubwa kwa taifa na uboreshwaji wa hali ya lishe nchini jambo ambalo linatakiwa kutolewa elimu juu ya kupambana na hali hiyo.

Kufuatia hali hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Yohana Sintoo amesema kuwa ili kukabiliana na tatizo hilo lazima kamati  lishe ya wilaya kujikita katika kuelimisha kuhusu lishe bora kwa watoto ili kuondokana na tatizo la utapiamlo.

Akizungumza katika uzinduzi wa kamati ya Lishe ya Wilaya; Sintoo amesema kuwa ni lazima kamati hizo kuwa na mikakati ya kutoa elimu bora ya namna ya kukabiliana na utapiamlo ambao husababishwa na lishe duni.

Amesema tatizo la lishe duni limekuwa likiathiri ukuaji wa maendeleo ya mtoto kimwili na kiakili hali hiyo hufifisha mchango wake katika ukuaji wa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Hai Dkt. Irene Haule amesema kuwa mafunzo ya kuboresha huduma za lishe yatasaidia katika kuhakikisha kunakuwepo mabadiliko chanya katika makuzi ya mtoto ambaye ni tegemeo kwa taifa na jamii kwa ujumla.

Dkt. Haule amesema kuwa kati ya watoto 46,000 walio chini ya umri wa miaka 5 waliofika kwenye vituo vya kutolea huduma mwaka 2017 waliogundulika na utapiamlo ni 217 tu.

Kwa upande wake Afisa Lishe wa Wilaya Hai, Silivania Kullaya amesema licha ya kuwepo kwa tatizo la utapiamlo kumekuwepo pia  magonjwa wa Kusendeka ambao husababishwa  na mitindo mibaya ya maisha kama vile ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi, kutokufanya mazoezi, kutokupima afya, unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara.

Amesema kuwa ili kukabiliana ugonjwa huo lazima jamii ielimishwe kuhusu ulaji sahihi na mfumo mzuri wa maisha kwa kufuata taratibu za lishe hali itakayowezesha kuwa na jamii yenye Afya njema.

Akihitimisha uzinduzi huo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji, Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Hai, Julias Kakyama ameitaka kamati hiyo kuzingatia mafunzo waliyopewa ambayo yamejadili mustakabali wa afya ya wakazi wa Wilaya ya Hai.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai