• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Masalia Ya Binadamu Zaidi Ya 2000 Kurejeshwa Nchini

Imetumwa: September 10th, 2022

Umoja wa Machifu hapa nchini unakusudia kuyarejesha masalia ya binadamu ikiwemo mafuvu ya kichwa zaidi ya 32 yaliyopo Ujerumani yaliyochukuliwa wakati wa utawala wa wajerumani lengo likiwa ni kuyaenzi na kuongeza pato la taifa kupitia utalii.

Katika tamasha la utamaduni lililofanyika Januari mwaka huu, Machifu hao walimuomba Rais Samia ambaye Pia ni Chifu mkuu wa Machifu Tanzania, kurejeshwa masalia hayo ambapo Rais alizielekeza wizara zinazohusika kuchukua hatua stahiki ili kurejesha masalia hayo.

Katibu wa Machifu mkoa wa Kilimanjaro Joseph Msele akizungumza kwenye maonyesho ya marejesho hayo yaliyofanyika Septemba 10, 2022 Kyalia Machame wilayani Hai, anasema kwamba "Tumepata taarifa nzuri kutoka kwa watanzania wanaoishi Ujerumani ambao nao wamekuwa na harakati kama hizi, ambapo katika juhudi hizo chini ya kikundi cha Berlin Post-Colonial, tayari wamepata idhini ya awali kwamba hivyo vitu vinaweza kurudishwa"

"Kwa taarifa ni kwamba Berlin pekee kuna mafuvu ya binadamu zaidi ya 22 na kwa mji mwingine ulioko mpakani mwa Ufaransa kuna mafuvu zaidi ya 32 na haya ni yale ambayo yanahusu ukanda wa kaskazini kwa maana yana lebo ya Chaga, lakini vitu vingine ambavyo ni vya jadi vipo zaidi ya 300 na kwa Tanzania nzima ni zaidi ya 2000"

Diwani wa kata ya Machame Kaskazini Judica Mushi akizungumza katika maonesho hayo ameleeza kuwa hakuna haja mafuvu hayo kuendelea kukaa Ujerumani, ni wakati sasa wa kuyarudisha ili watanzania waweze kuyaenzi kwa lengo la kuleta kumbukumbu nzuri na kitega uchumi katika masuala ya utalii.

Akiwasilisha salam za mkuu wa wilaya ya Hai Juma Irando, Afisa tarafa ya Machame Said Izina amewapongeza viongozi walioandaa maonesho hayo ya kuenzi utamaduni kwani husaidia huonyesha ni wapi watanzania wametoka na kipi wanapaswa kupambania kiujumla.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA USAHILI NAFASI ZA JESHI WILAYA YA HAI September 06, 2023
  • TANZGAZO LA ZABUNI SEKONDARI YA MATUNDA July 20, 2023
  • TANGAZO LA WAZABUNI WA VIFAA April 20, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA FUNDI MKUU UJENZI March 17, 2023
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Serikali Kujenga Mahakama Ya Mwanzo Machame

    September 07, 2023
  • Serikali Kutekeleza Mpango Wa Makuzi Na Malezi Kwa Watoto

    September 01, 2023
  • Wadau Wa Maendeleo Watakiwa Kufanya Kazi Kwa Ushirikiano Katika Malezi Ya Mtoto

    August 29, 2023
  • Mwenyekiti UWT Apongeza Watumishi Divisheni Ya Maendeleo

    August 29, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai