• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mbunge Wa Jimbo La Hai Amshukuru Rais Samia

Imetumwa: February 24th, 2023

Mbunge wa jimbo la Hai Mhe. Saashisha Mafuwe amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kulipatia jimbo hilo fedha nyingi zinazopelekea uwepo wa miradi mikubwa ya kimaendeleo katika wilaya hiyo kwa wakati mmoja.

Saashisha ameyasema hayo katika ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa jimboni humo na kuzungumza na wananchi huku akiwataka wakandarasi wanaohusika kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa weledi ili wananchi wafaidi matunda ya Serikali ya awamu ya sita.

“Kwakweli tunatakiwa kumpongeza sana mheshimiwa Rais kwa jinsi ambavyo analitendea jimbo la Hai hivi sasa kuna barabara nne ujenzi unaendelea kwa kiwango cha lami ile kero ya muda mrefu ya maji inamalizika maji yashaanza kupampiwa hali inayopelekea upatikanaji wake kuongezeka yapo mengi yanayofanyika nikiyazungumza siwezi kuyamaliza ikiwemo hilo la ujenzi katika hospital yetu ya wilaya ambapo shilingi bilioni 1.3 zimepelekwapale na mkandarasi anaendelea na kazi”

Akifafanua zaidi Saashisha ameeleza kuwa fedha hizo zitasaidia ujenzi wa majengo manne katika hospital hiyo ambapo yanatarajiwa kuboresha huduma za afya kwa wagonjwa na kuongeza kuwa katika fedha hizo milioni 300 zitanunua vifaa tiba na dawa huku milioni 50 ikienda kwenye zahanati na kutaja kuwa fedha nyingine zilizobaki ambazo ni milioni 900 ndizo zitakazo husika na ujenzi katika hospital ya wilaya huku akibainisha kuwa upatikanaji wa dawa katika hospital ya wilaya umeboreka hadi kufikia asilimia 96 .

“Nawataka wakandarasi kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi na haraka ili miradi hii mikubwa itimie kwa wakati kwa niaba ya wananchi wa wilaya ya Hai namshukuru sana waziri wa afya na namna anavyosikia maoni ya wabunge hili jambo niliiomba serikali nikiwa bungeni kufanya matengenezo ya hospital yetu ya wilaya na kutuongezea majengo na leo limeshanyika tunachomuahidi mheshimiwa Rais ni kwamba tutaendelea kumpenda na tutahakikisha miradi yote inayokuja wilaya ya Hai tunaisimamia ili Ile shauku yake , maengo na matajio yanatimia ikiwa ni pamoja na kuakikisha thamani ya fedha inaonekana kwenye miradi hiyo”

Akizingumza katika ziara hiyo Diwani wa kata ya Bomang’ombe Evod Njau amempongeza mbunge huyo kwa namna anavyopambana kuakikisha fedha za maendeleo zinafika katika jimbo hilo na kuongeza kuwa ushirikiano mkubwa baina ya madiwani ofisi ya mkuu wa wilaya mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri unafanya fedha hizo zitumike kwa weledi kwani ufuatiliaji unafanywa mara kwa mara kuhakikisha zinanufaisha wananchi ambao ndio walengwa.

Kwa upande wake katibu wa Itikadi Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi CCM wilayani Hai Mudi Msalu amesema fedha za uboreshaji wa hospitali hiyo ni matokeo ya maamuzi sahihi ya wananchi wa wilaya hiyo kukiamini Chama Cha Mapinduzi na kukipa nafasi ya kuongoza jimbo hilo kuanzia nafasi za wenyeviti wa vijiji na vitongoji madiwani mbunge na rais hivyo wana kila sababu ya kufurahia matunda ya kura zao kupitia maendeleo makubwa yanayofanyika jimboni humo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai