• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkurugenzi Ahimiza Uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma

Imetumwa: June 8th, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, Yohana Sintoo amewataka watumishi wa umma kwenye halmashauri hiyo kutekeleza wajibu wao kwa weledi na kuzingatia kutoa huduma bora kwa wananchi kwenye maeneo yao.

Sintoo ametoa rai hiyo mapema leo katika ukumbi wa halmashauri hiyo kwenye kikao kazi cha siku moja cha watendaji wa serikali wa kada mbalimbali kwenye ngazi ya kata na vijiji kilichokuwa na lengo la kuwakubusha utaakelezaji wa majukumu yao na kuboresha huduma kwa wananchi.

“Baadhi ya watendaji wamekuwa na tabia za kukwepa majukumu yako , ya kutatua kero za wananchi na kugeuka kuwa sehemu ya migogoro kwa kuwapendelea baadhi ya watu ”amesema Sintoo.

“Watendaji wa kata hakikisheni kuwa mnasimamia watendaji wa vijiji pamoja na wataalamu wote waliopo kwenye maeneo yenu  ya utawala ili wawajibike na kuhudumia wananchi  kwa kiwango kinachostahili ikiwemo kuondoa migogoro inayojitokeza kwenye  jamii” amesisitiza Sintoo.

“Wapo watendaji miongoni mwenu wamekuwa na tabia za kufungua ofisi asubuhi na kuondoka  kwenda kwenye shughuli zao za binafsi na kuwaacha wananchi wakipata shida pindi wanapohitaji huduma, tabia hii sitaivumilia na wala sitasita kumchukulia hatua za kinidhamu yeyote atakayebainika ”ameongeza.

Akizungumzia suala la baadhi ya wenyeviti wa mitaa  na vijiji kuingiza siasa katika shughuli za kimaendeleo, Sintoo amesema tabia hii imechangia kuchelewesha upatikanaji wa huduma za kijamii kutokana na kuwagawa wananchi kwa itikadi za kisiasa

“Niwaombe wenyeviti kuepuka kuingiza siasa kwenye utekelezaji wa shughuli za maendeleo na mfahamu kuwa utekelezaji wa kazi za serikali hauzingatii upendeleo wa aina yoyote au itikadi ya chama chochote kwani maendeleo hayana chama” ameongeza Sintoo

Kwa upande wake mwanasheria wa Halmashauri hiyo, Boniface Kalokona  amewataka watumishi kuacha tabia za kufanya kazi kwa woga ili kukwepa lawama na badala yake wafanye kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni zilizopo ambazo hazipendelei wala kumuonea mtu yeyote bali zinatoa haki sawa kwa wote.

Naye mratibu elimu kata ya Weruweru  Angelika Kesi amesema kikao hicho kimewakumbusha majukumu yao  pamoja na kupata njia za kuweza kutatua changamoto zinazijitokeza kwenye maeneo yao hali ambayo itasaidia kuboresha huduma kwa wananchi.

Katika kikao kazi hicho kilichowahusisha watendaji wa kata, watendaji wa vijiji, waratibu elimu kata, maafisa maendeleo ya jamii kata pamoja na wakuu wa idara zao; kila mtaalamu alipata nafasi ya kuzungumzia changamoto moja kwenye eneo lake la kazi na namna ilivyotatuliwa lengo likiwa kutambua namna watendaji hao wanavyowatumikia wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai