• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Irando Aridhishwa Na Ujenzi Wa Madarasa

Imetumwa: October 27th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Juma Irando amesema ameridhishwa na kasi ya Ujenzi wa vyumba 10 vya madarasa unaotekelezwa katika shule 7 wilayani humo kupitia nguvu kazi ya ndani (force account).

Shule hizo ni pamoja na shule ya Sekondari Longoi, shule ya Sekondari Rundugai, Hay day, Shule ya Sekondari Tumo, Neema Sekondari, Roo pamoja na shule ya Sekondari Mukwasa.

"Katika ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya Ujenzi wa madarasa, Irando akatoa rai kwa wananchi "miradi hii ni yetu wote, tunahitaji sana sapoti au nguvu za wananchi kwa ajili ya kuendeleza hii miradi"

"Na kimsingi nimeelekeza pale popote ambapo wananchi watafanya chochote, lazima nguvu zao zithaminishwe tuweze kujua michango yao kwa thamani ya fedha na lazima ifike sehemu tuwaambie ili waweze kujua kkwamba tumetambua kazi yao nzuri waliyofanya kuisapoti Serikali"

"Kwa watendaji, tuendelee  kuifatilia miradi yetu kwani inatakiwa ikamilike kwa wakati ili kuepuka usumbufu kwa wanafunzi wetu mwakani, lakini pia thamani ya fedha lazima ionekane kwenye miradi pamoja na muda kwa maana ya wakati"

"Na wote tunajua kwamba mwakani mwezi wa kwanza wanafunzi wataanza kujiunga na kidato cha kwanza hatutegemei upungufu wa madarasa uendelee kuwepo na ndiyo maana tunamshukuru sana Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliona hilo na akatoa fedha nchi nzima, sasa wananchi wetu wa Hai lazima tushirikiane na mama"

Aidha Irando amewaagiza wakuu wa shule kujiunga kwa pamoja na kuona namna nzuri ya kuagiza vifaa vya Ujenzi kwa lengo la kupata unafuu kwenye bei na kuokoa baadhi ya gharama

Naye Kamanda wa TAKUKURU wilaya ya Hai Josiah Gunda ameonya wale wote wanaosimamia miradi hiyo kutokuthubutu kujihusisha na vitendo vya rushwa kwenye fedha za miradi hiyo kwani taasisi hiyo iko macho wakati wote.

Wilaya ya Hai ilipokea fedha kiasi cha shilingi milioni 200 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya Ujenzi wa vyumba vya madarasa 10 kwa ajili ya wanafunzi wanaotarajia kujiunga na kidato cha kwanza mwakani, ambapo kila darasa moja linagharimu jumla ya shilingi milioni 20

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai