• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Viongozi Watakiwa Kushirikiana na Wananchi Kukabiliana na Ualifu

Imetumwa: January 26th, 2023

Kamati za ulinzi na usalama za vijiji na kata zimetakiwa kushirikisha wananchi wa jamii zote na makundi yote katika kupanga na kufanya maamuzi yanayowahusu ikiwemo ikiwemo hali ya uhalifu inavyoendelea pamoja na utatuzi wake katika maeneo husika.

Kamishna msaidizi mwandamizi mstaafu Englibert Kiondo ameyasema hayo alipozungumza na viongozi wa vijiji, vitongoji na kata katika ukumbi wa KKKT wilayani Hai na kuwataka viongozi hao kwenda kukaa katika mikutano ya vijiji na kushirikisha wananchi kuhusu ya ulinzi na usalama.

"Mnatakiwa mkakae kwenye mikutano ya vijiji muwashirikishe wananchi kuhusu hali ya uhalifu inavyoendelea pale, ipigwe kura ya siri kwamba ni wanani wanatusumbua hapa, kamati ya usalama ya kijiji inakaa na Polisi kata wenu mnajadili yanapelekwa ngazi ya kata yanachujwa pale yanaletwa ngazi ya juu, Mtendaji kata yupo, DC yupo watachambua watachambua changamoto za kila kata"

"Tumesema tuunde vikundi vya ulinzi shirikishi Polisi kata ameshindwa kuunda kwa  sababu vijana wote ni walevi, badala ya kwenda kulinda wanapaka nyumba alama za kuja kuvunja usiku na mwenye jukumu la kusema walinzi shirikishi ni watu gani, ni Mwenyekiti wa kijiji na kamati ya ulinzi na usalama" ameongeza Kamishna Kiondo

Kaimu mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya wilaya ya Hai David Lekei akizungumza wakati akiahirisha mafunzo hayo amewataka wenyeviti wa vijiji, watendajj wa vijiji na kata kusimama kwenye nafasi zao kwa kutatua changamoto zilizopo kwenye maeneo yao ikiwa ni pamoja na kuonyesha hatua walizochukua kukabili changamoto hizo.

Awali mhadhiri wa chuo cha usimamizi wa mahakama (IJA) Lushoto, Kelvin Mandopi wakati akitoa mada kwenye kikao hicho cha mafunzo amewataka viongozi wa vijiji, vitongoja na kata kwenda kushauri masuala ya kiulizi katika maeneo yao ikiwa ni pamoja na kuweka misingi mizuri ya kukomesha uhalifu.

Naye mhadhiri kutoka idara ya sayansi ya siasa chuo kikuu cha Dar es Salaam Elijah Kondi akizungumzia umuhimu wa viongozi kwa polisi katika kufanikisha polisi jamii amesema kutatua mazingira ya kiuchumi na kijamii ndiyo suluhisho la uhalifu kutokea kwenye jamii.

Mkuu wa Polisi wilaya ya Hai mrakibu mwandamizi wa Polisi Juma Majatta ametaka viongozi kuendelea kufanya kazi licha ya kuwepo tatizo la kisheria linapokuja suala la uhalifu "msivunjike mioyo tuendelee kutenda yale ambayo tunaamini yanaweza yakatusaidia kuondoa au kupunguza matukio ya uhalifu katika wilaya yetu ya Hai"

Viongozi wengine waliohudhuria kikao hicho cha mafunzo ni pamoja na Katibu Tawala wilaya ya Hai Upendo Wella, kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro SACP Simon Maigwa,  pamoja na mkuu wa kikosi cha usalama barabarani wilaya hiyo Mrakibu msaidizi wa polisi Novatus Akondowe.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai