• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wadau Wa Maendeleo Watakiwa Kufanya Kazi Kwa Ushirikiano Katika Malezi Ya Mtoto

Imetumwa: August 29th, 2023

Katibu tawala wa wilaya ya Hai Sospeter Magonela amewataka wadau  wa maendeleo kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuhakikisha watoto wenye umri wa mika 0-8 ndani ya wilaya wanapata huduma ya malezi jumuishi ili  wastawi na kufikia hatua za ukuaji timilifu.

Magonela ametoa rai hiyo wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa programu jumuishi ya taifa ya malezi na makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ambapo amesema twakimu zinaonyesha kuwa aslimia ishirini ya watoto chini ya miaka 5 wana udumavu.

Amesema watoto wakiwa na udumavu wanaweza kusababisha taifa kukosa watu wenye uwezo wa kufanya kazi za uzalishaji mali kwa tija na hivyo kuathiri ukuaji wa uchumi.

Ili kukabilina na tatizo hilo amesema ni vema uwekezaji ukafanyika katika maeneo matano ya mfumo wa malezi jumuishi ambayo ni afya bora, lishe, malezi yenye mwitikio, fursa za ujifunzaji wa awali  pamoja na ulinzi na usalama wa mtoto.

Akitoa mada katika uzinduzi huo Mratibu wa Afya na Uzazi hospitali ya halmashauri ya wilaya ya Hai Godfrey Ngaya amewataka amesema watoto wengi hawafikiiukuaji timilifu kutokana na kupata lishe duni,kunyimwa fursa za kucheza,ukatili,Msongo wa mawazo  wa familia,msongo wa mawazo wakati wa ujauzito,kukosa chanjo pamoja na utapiamlo.

Amewata wazazi kuhakikiasha watoto wanapata lishe bora na kuwapa muda wa kucheza,maji safi  pamoja na vifaa vya mtoto kuchezea ambavyo ufanya mtoto kuchangamsha ubongo wake.

“ni wangapi hapa wanawanunulia watoto wao vifaa vya kuchezea?, najua wengi wetu tunawanunulia watoto vitu vya kuchezea tena wengine si ajabu jana walinunua lakini hatununuzi vitu ambavyo vinamchangamsha mtoto,acheni kununua vitu vilivyo tayari kama mpira,garai au mdoli badala yake mnunulie mtoto vitu ambavyo akiunga unga anapata mpira,gari au mdoli hapoa utakuwa unachangamsha ubongo wa mtoto”alisisitiza Ngaya.

Naye Shekhe Ibrahimu Hamadi akichangia mada katika hafla hiyo ameishukuru serikali kuja na mrogramu hiyo jumiushi ya taifa ya malezi ,makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto wilaya ya Hai na kuitakata jamii kushirikiana katika malezi kwakua sula hilo sio la mtu mmoja.

“Suala la malezi sio la mtu mmoja,ni la jamii yote na lazima jamii ijifunze juu ya malezi bora kwakuwa watoto wanaharibika katika mazingira mbalimbali.aliongeza Shekhe Hamadi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai