• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wananchi Watakiwa Kushiriki Kwenye Ujenzi Wa Miradi Ya Maendeleo

Imetumwa: September 29th, 2022

Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro imewataka wananchi kushiriki kwenye miradi ya maendeleo inayoendelea ili kujua thamani ya miradi hiyo kwani ni miradi inayoletwa Kwa ajili Yao.

Akizungumza wakati wa ziara ya kamati hiyo Septemba 28 2022 Mkuu wa wilaya ya Hai Juma Said Irando amesema kuwa viongozi wanaosimamia miradi ya maendeleo kwenye ngazi ya Vijiji, Vitongoji, kata na wilaya kuhakikisha wananchi wanashirikishwa na kujua thamani ya miradi hiyo.

“Niwashukuru wazazi Kwa hatua ya kushirikiana na serikali Kwa ajili ya manufaa ya watoto wanaosoma hapa na watakaokuja kujiunga kusoma katika madarasa haya, viongozi hakikisheni mnawashirikisha hawa wananchi kwasababu miradi inayoletwa na Mhe. Rais ni kwa ajili ya wananchi, nawapongeza sana endeleeni na ushirikiano huo huo”Mhe. Irando

Aidha Irando amewataka waliopewa kazi ya kuisimamia miradi hiyo kuhakikisha wanaisimamia na kuikamilisha kwa wakati kwani mradi unapochukua mda mrefu huleta hasara kutokana na kubadilika kwa gharama na vifaa vya ujenzi kila mara.

Kwa upande wake Katibu tawala wa wilaya ya Hai Upendo Wella amesema ni utaratibu wa kamati ya ulinzi na usalama kutembelea miradi hiyo lengo ni kuona yanayoendelea na si kuishia kupokea taarifa huku akiwataka wananchi kuiunga mkono serikali ya Rais Samia Suluh Hassani kwa kushiriki kazi zinazokuwa zikiendelea kwenye miradi hiyo.

“Imekuwa kawaida yetu sisi Kama kamati ya ulinzi na usalama kutembelea na kukagua miradi ya mandeleo katika wilaya yetu lakini katika maeneo tuliyopita kukagua ujenzi unaendelea kwa hatua nzuri, rai yangu kwa wananchi kushiriki kuiunga mkono serikali kwa kazi ambazo zinafanywa kwani serikali haiwezi kufanya kazi peke yake” Upendo Wella

Baadhi ya miradi iliyotembelewa na kamati hiyo ni pamoja na Ujenzi wa vyumba vya madarasa na matundu sita ya vyoo shule ya msingi Kikavu chini ambao upo kwenye hatua ya umaliziaji,ujenzi wa nyumba za walimu(two in one),ujenzi wa darasa moja ambalo linatokana na nguvu za wananchi ambapo pia serikali iliunga mkono umaliziaji wa ujenzi huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai