• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wananchi Wilayani Hai wapewa siku tatu Kuwasilisha Fedha Bandia

Imetumwa: October 23rd, 2019


Kufuatia kuwepo kwa fedha  za bandia, mkuu wawilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya ametoa siku tatu za msamaha kwa wananchi wote waliopokea fedha hizo bila kujua  kuzisalimisha ofisini kwake au kituo cha polisi  hadi ifikapo ijumaa ya tarehe 25 octoba mwaka huu.

Pamoja na kutoa siku hizo tatu pia amewatoa hofu wananchi wenye fedha hizo  kuwa pindi watakapozisalimisha ofisini kwake au kwa mkuu wa polisi Hai  hawatachukuliwa hatua yoyote ya kisheria kama ilivyo hofu mionngoni mwao.

Ametoa agizo hilo leo wakati akizungumza na wafanya biashara pamoja na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika ndani ya stend ya mabasi Bomang’ombe ambao pia ulibeba lengo lakutoa elimu ya utambuzi wa alama za usalama na utunzaji bora wa noti pamoja na utambuzi wa fedha bandia elimu iliyotolewa na wataalamu kutoka benki kuu Tanzania tawi la Arusha.

Amesema “natoa msamaha huu kwakuwa hamkuwa na elimu ya kutambua fedha bandia,baada ya siku hizi tatu kuisha kwakuwa tumeshatoa elimu mtu yoyote tutakaye mkamata atakchuliwa hatua za kisheria na msamaha huu hatuawahusu wale mawakala wanatengeneza na kusambaza fedha hizi za bandia ”.

Sabaya amesema kuwa uwepo wa fedha hizo ndani ya jamii kunaleta athari kubwa ikiwemo kusababisha mfumuko wa bei na mzunguko usio wa uhalisia kutokana na fedha hizo kutokuwa halali, hivyo wameona ni vyema kuwaalika maafisa hao ili kutoa elimu ya utambuzi wa fedha hizo kwa wafanya biasha na wananchi itakayowasaidi kufahamu uhalisia wa fedha halali na bandia.

Aidha baada ya kupata elimu hiyo amewataka wananchi kuwa makini wanapofanya biashara zao ili kuepukana na tatizo hilo la kupatiwa fedha bandia.

Kwa upande wake meneja msaidizi kitengo cha sarafu Banki kuu tawi la Arusha Bw.Robert  Methew amesema kuwa baada ya kupata ombi kutoka kwa mkuu huyo wa wilaya waliona ni vema kufika na kutoa elimu hiyo kwa wananchi ili kupata utambuzi wa noti halali hivyo amewataka wananchi kujenga utamaduni wa kuchunguza fedha na  wanapogundua ni bandia watoe taarifa kwenye vyombo vya usalama ili hatua stahiki zichukuliwe.

Hivi karibuni kamati ya ulinzi na usalama wilayani Hai ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo iliweka mtego na kufanikisha kumkamata Richard Mtui  aikiwa na noti bandia yenye thamani ya  shilingi milioni 11ambazo alilenga kuzisambaza katika wilaya ya Hai.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai