• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wanufaika wa TASAF Hai Waishukuru Serikali Kuwathamini

Imetumwa: March 17th, 2021

WANUFAIKA wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), wameishukuru Serikali kwa kuwawezesha kiuchumi kupitia ruzuku wanayopokea, hali iliyowaondolea umaskini uliokithiri katika kaya zao kutokana na kuwa na uhakika wa kuendesha maisha yao na ya familia zao.


Pia wamewashauri wanufaika wengine kuweka akiba, ili ruzuku hiyo iwaondoe kwenye umaskini kama serikali ilivyodhamiria.


Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika Kijiji Cha Kwasadala Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro wakati wakipokea fedha hizo leo ,wanufaika hao wa TASAF walisema awali kabla ya kuingizwa katika mpango huo, walikuwa na maisha magumu kutokana na kuishi katika nyumba za tende huku hali ya lishe na elimu kwa watoto ikiwa ni shida.


Bi.Munieshi Mose ambaye ni mnufaika wamuda Mrefu  amekiri kuwa TASAF, imemtoa katika umaskini baada ya kuanza ufugaji wa mifugo mbalimbali pamoja na kuku baada ya kuanza kupokea fedha za ruzuku kutoka katika mfuko huo, ambapo sasa inamuwezesha kupata mahitaji yafamilia ikiwa nipamoja na kumuuguza mine wake ambae ni mgonjwa.


Mkazi mwingine wa Kitongoji cha Matowo Kijiji Cha Kwasadala Nuru Seifu Mtela ameiomba serikali kuangalia uwezekano wakuwaongezea kiwango Cha fedha hasa kwa wale wanaopokea kiwango Cha chini kinachoanzia shilingi elfu 10 Hadi elfu 20 alisema kuwa itawasaidia zaidi kuinuka kiuchumi.


Amesema"tunatoa shukurani kwaserikali yetu kwakuweza kutusaidia lakini tuko tofauti,Kuna ambao wanasaidiwa kukifungu chachini na wengine kifungu Cha juu,kwamfano sisi elfu 10 Hadi 20,hiyo nayo serikali yetu ingetuangalia ikatuongezea hapo ata kidogo kwasababu Shilingi elfu 10 au 20 unakwenda nayo sasa ukienda nayo usipokuwa na busara utajikuta Kila siku tu unakwenda nakurudi hivihivi,kweli serikali imetutizama vizuri sasa naiomba uwatazame wale wa chini".


Pia amewashahuri wanufaika wengine wajitahidi kuweka akiba, ili wafanye mambo ya maana ili hata mradi utakapoisha wawe na miradi endelevu itakayowasaidia wao na jamii inayowazunguka.


Kwa upande wake Mratibu wa TASAF Wilaya ya Hai Bw. Michael Mumburi amesema kuwa TASAF Wilaya ya Hai mpaka sasa imefanikiwa kuzifikia Kaya 3,533 katika kipindi Cha malipo ya mwezi Novemba na Disemba 2020 ambapo imepokea kiasi Cha Shilingi milioni 185,131,870



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai