• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Wilaya ya Hai Yajipanga Kuongeza Makusanyo Mapato

Imetumwa: June 30th, 2021

"Lazima tuhakikishe tunaongeza bidii katika ukusanyaji wetu wa mapato ikiwa ni pamoja na kubuni vyanzo vipya vya mapato katika halmashauri yetu ya wilaya ya Hai, bado sijaridhishwa na ukusanyaji huu" Dc Hai - Juma Irando.

Mkuu wa Wilaya ya Hai Juma Irando amewataka watumishi wa halmashauri hiyo kufanya kazi kwa bidii pamoja na kuimarisha makusanyo yake ili kuendelea kuihudumia jamii.

Irando ameyasema hayo mapema hii leo wakati akizungumza na watumishi wa makao makuu ya halmashauri ya Hai ambapo mbali na kuwataka kufanya kazi kwa bidii pia ameelezea kutokuridhishwa na hali ya ukusanyaji wa mapato huku akitaka jitihada zaidi za kuimarisha ukusanyaji zichukuliwe.

Aidha amewataka watumishi kufanya kazi kwa uhuru na kushirikiana huku akisema kuwa atakuwa mstari wa mbele katika kutoa ushirikiano ili kuleta ufanisi zaidi.

Mkuu huyo wa wilaya pia amewataka wataalamu wa idara ya ardhi kufanya kazi kwa uadilifu na uaminifu ili kuondoa kero kwa wananchi ikiwemo kugawa eneo moja mara mbili kwa watu tofauti jambo linalosababisha migogoro ya ardhi.

Awali akimkaribisha mkuu huyo wa wilaya, Katibu tawala wilaya ya Hai Upendo Wella amewataka watumishi na taasisi za umma kuendeleza ushirikiano uliopo ili kuimarisha huduma zitolewazo kwa jamii.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo amemhakikishia Mkuu wa Wilaya ushirikiano wa wakuu wa idara na watumishi wote wa halmashauri akibainisha kuwa watumishi wapo tayari kutimiza wajibu wao na kuweka mchango wao katika kuboresha huduma zinazotolewa kwa jamii.

Kikao hiki ni cha kwanza ambacho Mkuu wa Wilaya amekitumia kujitambulisha lakini pia kuweka mikakati ya pamoja na watumishi kuhusu namna ya kutekeleza majukumu yaliyo mbele yao ya kuwahudumia wananchi wa Wilaya ya Hai.




















Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Wananchi Washukuru Zoezi La Uboreshaji wa Daftari

    May 21, 2025
  • CRDB Yakabidhi Darasa ,Mkuu Wa Mkoa Ashukuru

    May 16, 2025
  • DC Hai Haimiza Wananchi Kujiandikisha

    May 16, 2025
  • Watakiwa kufanya Kazi Kwa Kuzingatia Miongozo Ya Tume

    May 14, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai