NIFUATE HATUA ZIPI ILI NIPATE KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI?
SAJILIWA KWENYE MFUMO NA AFISA TEHAMA
HUISHA AKAUNTI YAKO YA MFUMO WA KUOMBA KIBALI
TAARIFA NA NYARAKA MUHIMU
Mwombaji awe na taarifa/nyaraka zifuatazo kulingana na mahitaji ya Safari (Nyaraka zote ziwe fomati ya pdf)
JINSI YA KUFUATILIA KIBALI
Mara baada ya kujaza fomu kwenye mfumo na kubonyeza neno WASILISHA, Maombi yako yatafika kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Hai(Mkuu wa taasisi). Mtaarifu ili aidhinishe kibali chako kiweze kwenda hatua inayofuata.
Nitakiona vipi kibali?
Kitongoji cha Bomani
Anuani ya Posta: 27 Hai
Simu: 0272758441
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ded@haidc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai