• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Afya Moja Kuongeza Ushirikiano

Imetumwa: August 28th, 2023

Ofisi ya waziri mkuu imetoa mafunzo kwa    wataalamu wa sekta mbalimbali pamoja na asasi za kiraia Wilayani Hai yenye lengo la    kutoa elimu ya namna sahihi ya kukabiliana na majanga yanayosababishwa na magonjwa yanayohusisha wanyama, mimea pamoja na binadamu.

Mafunzo hayo yanatolewa katika nchi 14      barani Afrika, Tanzania ikiwa ni miongoni mwa nchi hizo yakilenga Mikoa minne           ikiwemo mkoa wa Kilimanjaro yenye lengo la kutengeneza timu itakayojulikana kama Timu ya afya Moja yenye jukumu la kuratibu vikao na kusimamia shughuli za afya moja, kuandaa mipango mikakati na upatikanaji wa fedha kwajili ya utekelezaji wa shughuli za afya moja.

Dtk. Henry Kissinga anaetokea katika Ofisi ya waziri mkuu idara ya Menejimenti ya maafa akiwa ni miongoni mwa waalimu waliotoa mafunzo

hayo katika kikao hicho amesema,

"Tuko hapa kwaajili ya kuwajengea uwezo wataalamu kutoka katika sekta ya afya ya binadamu, afya ya mifugo, mazingira, Kilimo na maliasili ili kukabiliana na magonjwa     hususani magonjwa yanayotoka kwa        wanyama kuja kwa binadamui (Zoonotic) ili waweze kutumia dhana ya afya moja itakayo zisaidia sekta hizo kukabiliana na magonjwa pamoja na kuzuia na kuhakikisha kua jamii inakua salama, vilevile wanyama pamoja na mazingira": Kissinga

Afisa maafa (w) Hai, Msafiri Msuya ameipongeza Ofisi ya waziri mkuu kwa       kutoa mafunzo hayo kwani yamewajengea uelewa wa dhana ya afya Moja katika         kukabiliana na majanga mbalimbali.

Ameongezea kwa kusema, "Elimu hii          itatusaidia kwasababu tulipokua tukifanya kazi Kila mmoja alikua anapita katika njia yake, Sasa tunakwenda kufanya kazi kama timu Moja jambo ambalo litasaidia

kutokutumia rasilimali nyingi katika jambo Moja kama ilivyokua hapo awali".

Vilevile, Helga Simon aliyekua mshiriki katika mafunzo hayo akitokea idara ya huduma ya afya ustawi wa jamii na lishe (w) Hai       amesema, mafunzo hayo yamewakumbusha     majukumu yaliyopo kwenye idara ya afya na katika idara "nyingine kufanya kazi kwa 

kushirikiana ili kutoa huduma kwa ueledi     hususani kwenye magonjwa ya mlipuko kwani watatoa huduma kwa kushirikiana na idara nyingine kwaajili ya kuleta matokeo Mazuri kwa huduma endelevu. Mfumo huu unasaidia pia kuhakikisha sisi wote tunalenga jambo Moja, pia kua na takwimu sahihi katika utekelezaji wa shughuli za  Halmashauri ya Wilaya": Helga.

Afya Moja ni dhana ya kimataifa iliyoridhiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO), shirika linaloshughulika na Afya ya Wanyama (OIE), Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa     Mataifa (FAO), Programu ya Kimataifa ya Mazingira (UNEP) kupitia “Global Health      Security Agenda” (GHSA) na wadau wengine wa Afya duniani kote.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai