• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Afya Wahimizwa Kusimamia Vema Miradi

Imetumwa: June 4th, 2024


Serikali imetoa kiasi cha shilingi 251,269,712.27 kupitia mradi endelevu ya Maji na Usafi wa Vijijini (SRWSS) awamu ya pili katika Zahanati 5 wilayani Hai.

Miradi itakayotekelezwa ni pamoja Zahanati ya KIA shilingi 46,000,000.000, Zahanati Chemka 39, 000, 000, 00, Narumu 29,000,000.00, Kwatito 46,000,000.00 na Kwenshoo 22,000,000.00.

Akisoma taarifa hiyo katika kikao cha kamati ya Afya Msingi , Afisa Afya wilaya ya Hai Fabian Muibo amesema miradi hiyo itatekelezwa kutokana na uhitaji wa kituo ambapo miongoni mwa kazi zitakazofanyika ni  ujenzi wa vyoo, mashimo ya maji taka,mnara wa tenki la maji ,kichomea taka  pamoja na choo katika chumba cha kujifungulia.

Muibo amemshukuru mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha hizo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo jambo ambalo litaendelea kuboresha kiwango.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Hai Amir Mkalipa ametaka uwajibikaji katika usimamizi wa miradi hiyo ya wamu ya pili na kuhakikisha  inamaliza kwa wakati uliokusidiwa na kwa ubora huku akiwapongeza Divisheni ya Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe wa kusimamia vema miradi ya awamau ya kwanza.

“tunawapongeza sana Mganga Mkuu, Mkurugenzi na watumishi wote wa afya kwani kuna mabadiliko sana katika utoaji wa huduma na changamoto ndogondogo ziendelee kufanyiwa kazi

pamoja na huduma tuendelee kupanda miti kwenye vituo vya afya na Zahanati ,tupopanda miti tupande na miti ya matunda,utunzaji wa mazingira uendee kwa kasi katika vituo vyote vya kutolea huduma

Katika utekelezaji mardi wa SRWSS awamu ya kwanza, halmashauri ya wilaya ya Hai ilipokea kiasi cha shilingi 160,723,614.00 ambazo zilielekezwa katika Zahanati 4 ambazo ni Bomangombe 53,313,000.000, Rundugai 42,143,114.00, Lambo 35,666,500.00 na Nkwenshoo 29,601,000.00.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai