• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

CRDB Yakabidhi Darasa ,Mkuu Wa Mkoa Ashukuru

Imetumwa: May 16th, 2025


Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mhe.Nurdin Babu amepokea darasa moja lenye thamani ya Shilingi Milioni 25 lililojengwa Kwa ufadhili wa Bank ya CRDB kwaajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya Msingi Uswaa wilayani Hai.


Katika uzinduzi huo ametoa wito kwa Wananchi kulitunza darasa hilo ambalo ni muhimu sana hasa kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu, pia amewaomba Wananchi kuwa Karibu nao na kuwapa kipaumbele na upendo kama ilivyo kwa watoto wengine kwenye familia.


Aidha ameishukuru Bank ya CRDB kwa kujitolea kujenga darasa hilo na kuomba kuendelea kufanya hivyo kwasababu imekuwa ni desturi kwao kufanya hivyo, pia amewaomba Wananchi wa Kilimanjaro kujitoa kufanya maendeleo wasisuburi serikali ifanye, pale inapowezekana wao kufanya wafanye ili kuleta maendeleo katika Mkoa wa Kilimanjaro.


Vile vile ametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa Fedha kwaajili yakuendeleza na kujenga miradi mingine mipya ambapo kwa kipindi cha miaka minne ameshatoa zaidi ya Trilioni 1.2 kwaajili ya kuleta maendeleo katika Mkoa wa Kilimanjaro.


CUT...BABU


Mhe.Nurdin Babu ametoa wito kwa Wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro kujitokeza kuboresha taarifa zao katika daftari  la kupiga kura kwa awamu ya pili linaloanza May 16,2025.


Amewatoa hofu Wananchi kuhusu zoezi la upigaji kura utakuwa wa amani na utulivu hakuna lolote baya litajitokeza, Serikali ya Mkoa kwakushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa imejipanga vizuri kulinda amani wakati wote wa uchaguzi, hivyo Wananchi wajitokeze kupiga kura.


CUT...BABU


Nae Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Bank ya CRDB ameishukuru serikali kwa kuendelea kuleta maendeleo kwa Wananchi wake,na bank inaunga mkono juhudi za kuleta maendeleo kwa Wananchi wote, vile vile ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya hai kwa kuusimamia mradi wakati wa ujenzi hadi kukamilika kwa viwango vinavyohitajika mpaka kufikia kukabidhi darasa kwaajili ya matumizi.


Katika hotuba yake amesema bank ya CRDB watakarabati Madarasa mawili ya shule hiyo kwaajili yakuunga mkono juhudi za Serikali na ikiwa ni miongoni mwa sera zao ambazo ni Afya, Elimu na Mazingira, na wanaendelea kutekeleza.


Ametoa wito kwa wazazi, waalimu na wanafunzi kuyatendea haki madarasa hayo kila mmoja kwa nafasi yake Kwa kuyatunza na kutoka elimu Kwa ustadi kwa wanafunzi hawa wenye mahitaji maalumu.


CUT...CRDB

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Wananchi Washukuru Zoezi La Uboreshaji wa Daftari

    May 21, 2025
  • CRDB Yakabidhi Darasa ,Mkuu Wa Mkoa Ashukuru

    May 16, 2025
  • DC Hai Haimiza Wananchi Kujiandikisha

    May 16, 2025
  • Watakiwa kufanya Kazi Kwa Kuzingatia Miongozo Ya Tume

    May 14, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai