• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

DC Hai Awashukia Wabadhirifu Mali za Kijiji

Imetumwa: August 29th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameagiza kukamatwa na kuchunguzwa kwa baadhi ya waliokuwa wajumbe wa halmashauri ya Kijiji cha Mijongweni, baadhi ya viongozi wa bodi ya ushirika, baadhi ya wajumbe wa kamati ya mpito  iliyoundwa na Mkuu wa Wilaya na kukusanya fedha za ushirika pamoja na waliouza na kununua pawa tila ‘power tiller’ ya kijiji hicho katika   Kata ya Mnadani kwa tuhuma za ubadhirifu wa shilingi milioni 274.

Sabaya ametoa agizo hilo akiambatana na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo kwenye mkutano wa kupokea ripoti ya tume ya uchunguzi iliyoundwa kufuatilia ubadhirifu wa vifaa vya kilimo na matumizi mabaya ya fedha za wanakijiji.

Waliokamatwa ni pamoja Abuu Fujo, Salama Mwingira, Deogratias Kimaro na Sadick Msangi ambao walikuwa ni wajumbe wa kamati ya fedha na wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji, wajumbe wa bodi ya ushirika ambao ni Nuru Juma, Mayunga Mathayo, Richard Msele na Adam Mdaki.

Wengine ni Alex Mkwizu na Miraji Araba ambao ni wajumbe wa kamati iliyoundwa na Mkuu wa Wilaya kwa ajili ya kukusanya makusanyo yanayotokana na umwagiliaji na kundi la mwisho ni mnunuzi wa power tiller ya kijiji Kuswai Mrisha na Bakari Mloka anayetuhumiwa kuuza power tiller hiyo.

Awali akisoma ripoti ya tume ya uchunguzi iliyoundwa kufuatilia huo; Mwenyekiti wa kamati hiyo Valeria Banda amebainisha majibu yaliyopatikana wakati wa uchunguzi huo.

Amesema kamati hiyo ilibaini kuwa Power Tiler aina ya KUBOTA yenye thamani ya milioni 17 iliyotolewa na Wizara ya Kilimo kwa halamashuri ya wilaya ya Hai kwa kikundi cha mkombozi iliuzwa kinyemela kwa Yusufu Ndesindilo mkazi wa Moshi Mjini na fedha iliyopatikana  haijulikani ilipopelekwa huku vipuri vya mashine zilizoletwa vikiibiwa na kusababisha hasara.

Banda ameongeza kwamba kamati yake ilibaini kuwa usimamizi wa mashine za kuvuna mpunga shambani haukuwa mzuri kutokana na baadhi ya wajumbe wa bodi kujipangia zamu kimaslahi huku wengine wakivuna nyakati za usiku na kutopeleka hesabu za fedha.

Aidha amebainisha kuwa kamati ilibaini kuwa fedha zilizokuwa zikipatikana shambani zilikuwa zikifanya kazi zisizojulikana huku kiasi kingine kikipelekwa saccos ya Jitegemee na kutolewa kwa wakati huohuo na kuingizwa katika matumizi mengine yasiyokuwa na kibali bila kufikishwa ofisini.

Mara baada ya uwasilishwaji wa taarifa hiyo Mkuu wa Wilaya hiyo Lengai Ole Sabaya amewataka wananchi wa kijiji hicho kutambua kuwa utaratibu uliokuwa unafuatwa wa  kuwasajili watu kwa kulipa hela kuwa ni batili kwani serikali ilitoa mashine hizo bila ya mahariti hayo.

Katika hatua hiyo Mkuu huyo wa wilaya aliagiza jeshi la polisi kumkamata Afisa ushirika Mstaafu wilaya Rafaeli Mmbwambo ili kujibu baadhi ya tuhuma zinazomkabili kutokana na yeye kuwa mlezi wa chama hicho huku akipewa kiasi cha shilingi laki mbili kufanya marekebisho ya masharti lakini hadi sasa chama hicho hakina masharti.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai