• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

DC Sabaya Atoa Somo kwa Wanafunzi Akizindua Wiki ya Upandaji Miti

Imetumwa: April 2nd, 2019

MKUU wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amewataka wanafunzi wa shule za sekondari wilayani humo kuzingatia masomo na kuacha  kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi hali ambayo imekuwa ikisababisha kukatisha masomo kwa kupata mimba na kusababisha hasara kwa familia na Taifa kwa ujumla.

Akizungumza na wanafunzi  wa shule ya sekondari ya  Wasichana ya Machame wakati wa uzinduzi wa wiki ya upandaji miti  Ole Sabaya amesema kuwa tatizo la mimba kwa wanafunzi limechangiwa sana na wanafunzi kujiingiza katika mahusiano kwenye umri mdogo na kusahau jukumu lao la msingi la kusoma.

Amesema kuwa wanafunzi kupata mimba wakati wa masomo ni kulitia doa Taifa pamoja shule kwani lazima kila mmoja ahakikishe anasoma kwa malengo ili kuondokana ili kuepuka tatizo hilo.

Hata hivyo amelitaka jeshi la polisi kuhakikisha kuwa linamkamata mtu anayetuhumiwa kumsababishia ujauzito mwanafunzi ili afikishwe mahakamani kujibu mashitaka ya kosa la ubakaji.

“Huyu ni mbakaji kama wabakaji wengine; kwa hiyo akamatwe na afunguliwe mashitaka hayo ili sharia ichukue nafasi yake” Ameagiza Ole Sabaya.

Amewataka wanafunzi  kuhakikisha kuwa wanajitunza na kusoma kwa bidii ili kutumiza ndoto zao na kuweza kuwa wataalumu wa baadae.

Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya ya Hai Upendo Wella amewataka wanafunzi wote hasa wasichana kusoma kwa bidii ili kuweza kulitumikia Taifa katika nyanja mbalimbali wakati muafaka ukifika.

Akizungumzia zoezi la upandaji miti Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo amesema kuwa halmashauri yake inao utamaduni wa kupanda miti kila tarehe 01 mwezi 04 ya kila mwaka kwa kuzingatia maelekezo ya serikali na kwa  mwaka huu imepangwa kupanda miti zaidi  milioni moja na nusu katika maeneo mbalimbali ikiwemo ya taasisi za umma na binafsi.  

Sintoo amesema kuwa  miti inayopandwa  katika msimu huu itahakikishiwa kutunzwa na kukua kwa ajili ya kuboresha mazingira pamoja kukabiliana na ukame  unaoweza kujitokeza kutokana na ukosefu wa miti.

Naye Mkuu wa Shule ya Wasichana Machame Mwalimu Asteria Massawe ameshukuru kwa serikali kuadhimisha siku ya upandaji miti shuleni kwake na kuahidi kusimamia kwa uaminifu utunzaji wa miti iliyopandwa.

Awali, akisoma taarifa kwa mgeni rasmi, Afisa Misitu Wilaya ya Hai Mbayani Mollel amesema kitendo cha kupanda miti kina manufaa kwa jamii kwa kuinusuru na majanga ya kimazingira lakini pia inasaidia kuimarisha uwiano wa kiasili na kiikolojia baina ya mifumo inayowezesha uhai.

Mollel ameongeza kuwa jumla ya miti 3,000 imepanda siku ya uzinduzi wa wiki ya upandaji miti na kwamba wiki hiyo itatumika kuhamasisha na kufuatilia wananchi kupanda miti kwenye maeneo ya makazi, biashara, mashamba na maeneo ya taasisi pamoja na sehemu zote zenye vyanzo na mkondo wa maji.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai