• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Diwani Rutaraka Achangia Saruji Ujenzi wa Madarasa

Imetumwa: January 5th, 2021

Diwani wa kata ya Muungano na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Edmund Rutaraka amekabidhi mifuko 20 ya saruji katika shule ya msingi Mlima Shabaha ikiwa ni mchango wake kwa ajili ya ujenzi wa vyumba madarasa.

Rutaraka amekabidhi msaada huo ikiwa ni utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake na ahadi iliyopo kwenye ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa lengo la ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa shuleni hapo.

Rutaraka amebainisha kuwa ni wajibu wake kama kiongozi kuonyesha mfano katika kupeleka maendeleo kwenye kata hiyo ambapo zoezi hilo ni endelevu kwa sehemu nyingine ikiwemo shule ya msingi Kambi ya raha ambapo ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa unaendelea.

“Serikali yetu imeweka utaratibu wa kumalizia ujenzi wa majengo yaliyojengwa kwa nguvu za wananchi hadi kufikia lenta kisha serikali inaleta fedha za kufanya umaliziaji ikiwemo kupaua” Amesema.

“Sisi kama jamii tunatakiwa kuchangia sehemu yetu ya ujenzi ili fedha za serikali kiasi cha shilingi milioni kumi na saba zinapokuja zifanye kazi ya kupaua na kuweka samani kwa ajili ya watoto wetu kupata sehemu nzuri ya kusomea” Ameongeza Rutaraka.

Akipokea msaada huo Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Coletha Gomezulu amemshukuru diwani huyo kwa mchango wake huku akitoa rai kwa wadau wengine kuendelea kutoa misaada ya hali na mali ili kusaidia ujenzi wa miundombinu ya shule kukamilika kwa wakati hali itakayosaidia wanafunzi kupata mazingira mazuri ya kusomea.

Gomezulu amesema kuwa mpaka sasa jumla ya wanafunzi 24 wa awali wameandikishwa shuleni hapo kati yao wavulana wakiwa ni 12 na wasichana 12 huku wanafunzi wa darasa la kwanza walioandikishwa idadi yao ni 38 kati yao wavulana ni 22 na wasichana 18 hivyo ujenzi wa vyumba hivyo vya madarasa utasaidia wanafunzi kupata mazingira stahiki ya kupata elimu kikamilifu.

Naye mwenyekiti wa kamati ya shule hiyo Godson Abraham ameeleza kuwa mpaka sasa shule hiyo ina vyumba madarasa 6 ambavyo vipo tayari huku akitoa rai kwa wananchi kuwa na mwamko wa kutoa michango ya shule waliyokubaliana kupitia vikao kwa lengo la kusaidia ujenzi wa miundombinu ya shule hiyo.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai