• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

'Hai Rural Teachers SACOSS' Wapata Uongozi Mpya

Imetumwa: January 10th, 2021

Wanachama wa Chama cha Akiba na Mikopo cha Hai Rural Teachers SACOSS wametakiwa kushirikiana na bodi mpya ya uongozi ili kufikia maendeleo yanayokusudiwa kwa chama hicho.

Akiongea baada ya kutangazwa mshindi wa kiti cha Mwenyekiti wa bodi hiyo Alex Warioba amewaomba wanachama kuendeleza utamaduni wa kushirikiana na viongozi katika kutekeleza majukumu ya chama.

“Mmekuwa karibu na uongozi unaomaliza muda wake na kushirikiana nao vizuri; ninaomba kwa niaba ya wajumbe wenzangu mtupe na sisi ushirikiano ili tuweze kutimiza malengo ya chama chetu” Amesema Warioba.

Uchaguzi uliofanyika kwenye viwanja vya CCM Sanya juu na kuhudhuriwa na zaidi ya wanachama 2000 umekipatia chama hicho  uongozi mpya ambao utakuwa madarakani kwa muda wa miaka mitatu.

Alex Warioba amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi wa chama hicho na Anselm Hamaro akiibuka nafasi ya Makamu wa Mwenyekiti huku  wajumbe wa bodi hiyo wakiwa William Temba, Richard Temba, Abdulbast Mohamed, Godfrey Kway na Justina Ngolinda.

Kamati ya usimamizi nayo imepata viongozi wapya kwa muhula wa miaka mitatu wakiwemo Hassan Mfangavo, Amani Perfect na Joshua Swai ambao kazi yao kuu itakuwa kusimamia utekelezaji wa kazi chama na kuhakikisha kuwa kazi zote zinafanyika kwa mujibu wa taratibu na sheria zilizopo kwa muda wote watakapokuwa madarakani.

Naye Stanley Fundisha amechaguliwa kuwa mwakilishi wa wanachama kwenye shughuli zote zinazohusu maslahi ya wanachama akiwa kama jicho la wanachama wote kwenye utekelezaji wa kazi za kila siku za chama.

Hai Rural Teachers Saccos ni chama cha akiba na mikopo kinachohudumia watumishi wa umma katika wilaya za Hai na Siha kilichoanzishwa mwaka 2000 kikiwa na wanachama 67 waliokuwa viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Hai kikiwa na mtaji wa shilingi 335,000 ambacho mwaka huu kikiwa kinatimiza miaka 21 na kwa ungozi Meneja wake Upendo Lyatuu akishirikiana na Bodi ya Uongozi chama kimefikisha wanachama 2,335 hadi mwisho wa mwaka 2020 na kinaendelea kuvutia wanachama wapya kupitia huduma bora zinazotolewa.

 Chama hicho hadi kufikia 31/10/2020 kimeonesha ukuaji mkubwa ambapo akiba imeongezeka kutoka sh. 3,708,187,864 mwaka 2016 hadi kufikia 6,291,425,330 na kufanikiwa kutoa mikopo ya shilingi 41,513,612,000 tangu kianzishwe hadi mwisho wa mwezi Oktoba 2020 ambayo imewasaidia wanachama kufanikisha shughuli za kilimo, ufugaji, ujenzi wa nyumba za makazi na biashara, kununua vyombo vya usafiri na kuhudumia dharura mbalimbali ambazo wangefanikisha kwa shida nje ya chama hicho.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai