• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Hai Yapokea Bilioni 1.9 Kwa Ajili Ya Miradi Ya Maendeleo Sekta Ya Afya

Imetumwa: September 27th, 2022

Halmashauri ya wilaya ya Hai imepokea jumla ya fedha shilingi bilioni 1.9 za miradi ya maendeleo Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kutoka serikali kuu, pamoja na mapato ya ndani ya Halmashauri kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya Afya.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa miradi ya Afya mbele ya Naibu waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel, Mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Juma Irando amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mhe. Samia Suluhu Hassan Kwa kuiwezesha wilaya hiyo katika ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii na uwezeshaji wananchi kiuchumi.

Irando ameeleza kuwa wilaya hiyo ina hospitali mbili kwa ngazi ya wilaya ambapo ni hospitali ya wilaya na Hospitali ya Machame inayomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), vituo 8 kati ya hivyo 7 zinamilikiwa na Serikali na 1 cha mtu binafsi, huku Zahanati 57 zinamilikiwa na mashirika 23 na 29 zinamilikiwa na Serikali.

“Katika mwaka wa fedha 2020/21 kwenye masuala ya kinga, tiba na miundombinu, Halmashauri kupitia Sekta ya Afya imewapatia wananchi 144,128 wamepatiwa chanjo ya UVIKO 19 kati ya lengo na wananchi 158,673 sawa na 90.8%” amesema Irando

Kwa upande wake Naibu waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ameitaka divisheni ya Afya na viongozi wa wilaya hiyo kushirikiana ili kutimiza lengo la kutoa huduma stahiki za Afya kwa wananchi kwa kuzingatia kanuni, sheria na maadili.

“Napenda kuwapongeza Mkuu wa Wilaya (Juma Irando) na mbunge wa jimbo la Hai (Saashisha Mafuwe) kwa kuonesha ushirikiano kwenye Idara ya Afya pamoja na mapokezi mazuri, pia mjitahidi katika masuala ya bima ya afya, mkifanya kitu kizuri muache taarifa hapa hata mtu akija kulalamika kuwepo na taarifa kama ushahidi”

Naibu waziri Wa Afya Dkt. Godwin Mollel katika ziara yake wilayani Hai ametembelea na kukagua ujenzi wa kituo cha Afya unaoendelea katika kata ya Masama kati ambapo hadi sasa imepokea fedha shilingi milioni 20 kati ya milioni 50 za makusanyo ya ndani ya halmashauri zilizotengwa na hadi kukamilika kituo hicho kitagharimu zaidi ya mil 700.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai