• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yashauriwa Kutoa Mikopo Mikubwa kwa Wajasiriamali

Imetumwa: June 11th, 2020

Wito umetolewa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kutoa kiwango kikubwa cha fedha wanazowapa wanawake, vijana na wenye ulemavu ili kuwawezesha kutekeleza miradi yenye tija kwa jamii husika.

Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Taifa wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Kheri James kwenye mkutano wa ndani na wanachama wa chama hicho uliofanyika kwenye ukumbi wa Filomena wilayani Hai.

Amesema mikopo hiyo iangalie uwezekano wa wanaokopeshwa kutengeneza ajira za watu wengine ili kusaidia kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira lakini pia kuwezesha wakopaji kutengeneza kipato cha kaya zao.

Aidha James ametumia mkutano huo kuwakumbusha vijana na wanachama wote wa Chama cha Mapinduzi kuwa wanao wajibu wa kutekeleza kwa chama na Taifa kwa ujumla hasa katika kipindi hiki ambapo nchi inapitia mabadiliko makubwa kwenye sekta zote kuelekea maendeleo endelevu.

“Leo hapa Hai nataka niwakumbushe umuhimu wa kuilinda nchi yetu, kuipenda nchi yetu na kuithamini nchi yetu. Nchi yetu ilipokuwa, ilipo na inapoelekea; kila mmoja anajua uelekeo wa nchi hii.”

“Ukishakuwa na miundombinu ya uhakika kwa anga, miundombinu ya uhakika kwa maji, miundombinu ya barabara; uchumi wetu utakuwa wapi baada ya leo”

Amewataka vijana kujiandaa kushiriki kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika miezi michache ijao kwa kupiga kura na kupigiwa kura kwa wale watakaogombea nafasi mbalimbali.

Kwa upande mwingine Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amewakumbushwa wanachama kuwa hakuna kiongozi mwenye mgombe katika kinyang’anyiro cha kuwania uteuzi wa CCM kwa nafasi ya ubunge wa jimbo la Hai.

Nao Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kilimanjaro Ivan Moshi na Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Hai Cedrick Pangani wamemwakikishia Mwenyekiti wa UVCCM Taifa kuwa wataendelea kushirikiana na vijana na makundi mengine kwenye jamii kuhakikisha kuwa chama chao kinapata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai