• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yatoa Milioni 129 Mkopo Wajasiriamali

Imetumwa: March 4th, 2021

Jumla ya vikundi 17 vya wanawake, vijana na walemavu wilayani Hai  vimewezeshwa na halmashauri ya wilaya hiyo shilingi milioni 129  ikiwa ni asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri hiyo katika mwaka wa fedha 2020/21.

Zoezi la kukabidhi hundi ya fedha hizo kwa vikundi hivyo limefanyika leo katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai na kukabidhiwa na Mbunge Wa Jimbo hilo Saashisha Mafuwe.

Akikabidhi hundi hiyo Mafuwe amesema kuwa Mkopo huo usiyokuwa na riba ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ambayo imelenga kuwakwamua kiuchumi Wananchi wake ambapo  Ni wajibu uliowekwa na sheria kwa Serikali za Mitaa kutenga asilimia kumi ya mapato yanayokusanywa kutoka kwenye vyanzo vya ndani vya mapato kwa ajili ya kutoa mikopo kwa vikundi vilivyosajiliwa.

Amesema ili kuwa na ufanisi zaidi kwenye vikundi hivyo baada ya kupata mikopo ataweka utaratibu wa kuvitembelea ili kuona wanafanya nini na pia kuchukua hatua kwa wasiotaka kurejesha marejesho ya Mkopo huo na kwamba serikali haitakubaliana na kikundi chochote kitakachotumia fedha hizo kinyume na utaratibu.

Aidha amesema kuwa kikundi kitakacho fanya marejesho ya Mkopo huo   kwa wakati unatakiwa ndicho kitakacho pewa kipaumbele kwenye Mkopo ujao.

"Tunatamani fedha hizi zitumike kwenu, mrejeshe kwa wakati,lakini ninachowahakikishia wote mtarejesha naninaimani, namsipo rejesha kwa hiari tutawalazimisha".amesema Mhe.Saashisha.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo ameitaka Idara ya Maendeleo ya Jamii kuhakikisha kuwa wanawatembelea na kuwasikiliza akiña mama wote wenye uhitaji wa mikopo na waliopo kwenye vikundi vyote kuhakikisha watapatiwa mikopo.

Aidha Sintoo amewataka wawatembelee walionufaika na mikopo hiyo ili kuona kama wanatekeleza majukumu waliyoombea mkopo na kuwasaidia iwapo watakutana na changamoto.

Mikopo inayotolewa na Halmashauri za Wilaya chini ya sheria ya fedha ya serikali za mitaa sura 290 inasema kuwa Katika kutekeleza wajibu wa serikali za mitaa kutenga asilimia kumi ya mapato yanayokusanywa kutoka kwenye vyanzo vya ndani vya mapato Mkurugenzi atakuwa na wajibu wa kuhakikisha kuwa Mamlaka ya Serikali za Mitaa inatenga asilimia kumi za mapato ya ndani kwa ajili ya kutoa mikopo na mikopo inatolewa kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na Vikundi vilivyokopeshwa vinarejesha mikopo kwa wakati.





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai