• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Halmashauri Zatakiwa Kutoa Mikopo Kwa Wanawake Na Vijana

Imetumwa: September 30th, 2018

Kiongozi wa mbio za Mwenge 2018 Mhandisi Charles Kabeho amewataka madiwani kuacha itikadi za siasa katika kufanya maamuzi ya kugawa mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani ya Halmashauri  inayotakiwa kutolewa kwa makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Akizungumza wakati wa mbio za Mwenge wilayani Hai  Mhandisi Kabeho amesema lengo la serikali ni kuhakikisha kuwa makundi yote maalum yanawezeshwa kiuchumi na inashangaza kuona baadhi ya madiwani wanatumia vibaya nafasi zao katika kukwamisha juhudi za serikali za kuweka mazingira wezeshi kwa wananchi.

‘Fedha hizi ni kwa mujibu wa sheria na taratibu haijalishi kwamba halmshauri inaongozwa na nani au na chama kipi; cha msingi kanuni, taratibu na sheria ni lazima kuzingatiwa na  halmashauri zote kwa kutenga fedha hizo na mara nyingi wakati wa mwenge tunagawa fedha hizi’ amesema  Mhandisi Kabeho.

‘Nipende kuikumbusha Halmashauri inayoongozwa na Mh Mwenyekiti na Madiwani wake kwamba wakae tena na kuhakikisha kuwa wanagawa fedha hizo  ili makundi haya muhimu yapatiwe mikopo ili waweze kujikwamua kichumi.’ amesisitiza Kabeho.

Kiongozi huyo wa mbio za Mwenge ameagiza taratibu zingine zifuatwe endapo itaonekana ni vigumu kwa madiwani kuidhinisha fedha hizo za mikopo kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ili vikundi vya ujasiriamali wilayani humo ambavyo vitakidhi vigezo viwezeshwe na kuendesha miradi yao kama ambavyo serikali imeagiza.

Awali akimkaribisha kiongozi wa mbio za mwenge Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya  alisema Halmashauri imeshindwa kutoa mikopo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kwenye mapokezi ya Mwenge baada ya baadhi ya madiwani kugoma kupitisha mikopo hiyo kwasababu zisizo za msingi na kuhaidi kutumia taratibu zingine endapo Madiwani hao hawataidhinisha fedha hizo ili kuwasaidia wananchi wenye vigezo vya kupata mikopo hiyo na kwamba ndiyo sera ya serikali ya awamu ya tano ambayo yeye anaisimamia.

‘kama nilivyokuambia kiongozi wa Mbio za Mwenge na sasa nasema mbele ya Umma kwamba watu wachache wamekataa kuidhinisha fedha kwa ajili ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, nakuhakikishia kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kwamba hilo halitajirudia tena watu wachache kukaa na kuamua kuwa wengine waendelee kupata tabu wakati ule ni utaratibu wa kisheria, fedha zile ni za umma zinakusanywa kwa matumizi ya Umma, umma ni watu wanyonge na fedha hizo sio hisani.’alisema Sabaya

Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 umekimbizwa kwenye jumla ya kilometa 98 katika Wilaya ya Hai na kutembelea miradi  ya maendeleo ambayo miradi miwili imezinduliwa na mmoja umewekewa jiwe la msingi yenye thamani ya shilingi milioni 461,649,943.

Miradi hiyo iligusa sekta ya kilimo kwa kuzindua shughuli za kusindika zao la vanilla, uzinduzi wa duka la dawa katika hospitali ya Wilaya ya Hai pamoja na kuweka jiwe la msingi kwenye mradi wa ujenzi wa ukuta wa uzio wa shule ya sekondari ya wasichana ya Machame.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Ujenzi Wa Bweni La Shule Ya Machame Kukamilika Kabla Ya June 19

    May 29, 2025
  • Vijana Wasauriwa Kutumia Fursa

    May 27, 2025
  • Wafanyabiashara Wa St Stend Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Wafanyabiashara Wa Send Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai