• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Jamii Yatakiwa Kutunza Vyanzo vya Maji Bonde la Mto Pangani

Imetumwa: August 3rd, 2021

Wito umetolewa kwa jamii kutunza na kuhifadhi rasilimali maji pamoja na vyanzo vyake ili kusaidia kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi ambayo huchangiwa kwa kiasi kikubwa na vitendo vya uharibifu wa mazingira vinavyotokana na shughuli za kibinadamu.


Akizungumza na wadau wa maji wa Bonde la Mto Pangani, madiwani wa halmshauri ya Hai wetendaji wa Kata na Vijiji pamoja na wenyeviti wao, Mkuu wa wilaya ya Hai Juma Irando amesema kuwa jukumu la kuhifadhi na kutunza vyanzo na rasilimali maji linapaswa kupewa uzito na jamii nzima na kufahamu kuwa ni jukumu la wote.


"Suala la maji ni mtambuka na linamgusa kila mmoja wetu, kwa mantiki hiyo bonde la Pangani na  jumuiya zake zote peke yao haziwezi kuyatunza isipokuwa tunapaswa kutambua kuwa ni jukumu letu sote" amesema Irando.


Mbali na kutoa wito huo; Irando ameishauri bodi ya maji ya bonde la Pangani kutoa elimu ya utunzaji wa maji kwa kupanda miti ili kuboresha mazingira na kuepuka upungufu wa maji.    


"Rasilimali maji ni ya kutunza sana maana ndio uhai wetu sote na kipekee niwashukuru ninyi bonde la Pangani kwa namna mnavyosimamia vyanzo vya maji ili vizidi kuwa endelevu lakini bado mnalo jukumu la kuhamasisha utunzaji wa mazingira yetu" Ameongeza.


Naye Mkurugenzi wa bodi ya Bonde la Pangani Segule Segule amesema kuwa bodi ya bonde hilo ipo kisheria na inafanya kazi katika mikoa mitatu ya Kilimanjaro, Arusha na Tanga na kwamba ofisi yake inaendelea kutoa elimu kuhusiana na masuala yahusuyo rasilimali maji.

 

Amesema kuwa kutokana na elimu ambayo imekuwa ikitolewa baadhi ya wananchi wameanza kupata uelewa na kuanza kuchukua hatua muhimu katika kuhifadhi vyanzo vya maji.


Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Masama Kusini Cedric Pangani ameomba uongozi wa bonde hilo kuwashirikisha viongozi walioko katika jamii mipango waliyo nayo ili iweze kupata uungwaji mkono badala ya kuleta miongozo ambayo imekuwa ikioneonekana siyo shirikishi kwa wananchi ambao ndiyo wadau wakubwa katika utunzaji huo.


"Asitoke mtu juu na kuitisha mikutano huko kijijini kuelezea mambo ya vikundi vya Bonde la Pangani wakati Mtendaji wa kijiji, Mwenyekiti wa kijiji na hata Diwani hajui, Sisi ndiyo tulio na wananchi tushirikishwe ili tusaidiane nao na hii itaondoa ukakasi kwa jamii". Amesema Pangani.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai