• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Kilimanjaro Yaridhishwa na Utekelezaji Miradi Wilaya ya Hai

Imetumwa: February 7th, 2020

KAMATI ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)  mkoa wa Kilimanjaro imesema kuwa imeridhika na hali ya utekelezaji wa miradi mbalimbali  ya kimaendeleo inayyotekelezwa  na halmashauri ya Wilaya ya Hai
Kauli hiyo inatolewa na Mwenyekiti wa CCM, Mkoani Kilimanjaro, Patrick Boisafi baada ya kutembelea miradi sita ya kimaendeleo ikiwemo ya elimu , afya na miundombinu ya barabara
Boisafi amesema kuwa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015 /2020 katika wilaya ya Hai umelekelezwa kwa kuzingatia ubora na viwango vinavyostahili kutokana naushirikiano  na  usimamizi mzuri wa wataalamu pamoja na viongozi wa Chama hicho ngazi ya wilaya.
Akiwa katika mradi wa shule ya Sekondari ya Tambarare iliyoanzaa kupokea wanafunzi mwaka huu amesa kuwa uanzishwaji wa shule hiyo umesaidia kuboresha elimu kwa wanafunzi wanaofauli kuingia kidato cha kwanza ambao walikuwa wanatembea umbali wa kilometa 24  kwenda na kurudi hadi shule ya sekondari ya KIA
Mwenyekiti huyo amesema  kupatikana kwa usajili wa shule hiyo litapunguzi adha watoto wa vijiji vya  Mtakuja na Tindigani kwenda mwendo mrefu kufuata elimu na pia uanzishwaji huo utasaidia kupunguza tatizo la mimba za utoto kwa wanafunzi wa maeneo hayo
Boisafi amesema kuwa halmashauri imeweza kutoa fedha za makusanyo ya ndani kwa ajili ya kukopesha vikundi vya wanawake, vijana na  watu wenye walemavu  ambapo ni agizo la serikali la kila halmashauri kutenga fedha za mikopo asilimia 10.
Aidha amepongeza, halmashauri kwa kutekeleza ilani kwa kutoa mikopo ya jumla ya fedha kiasi cha zaidi ya milioni 109 kwa vikundi 27 kati ya vikundi hivyo 18 ni wanawake , 6 ni vya vijana na vikundi vitatu  vya watu wenye ulemavu vimenufaika na mkopo huo.
Hata hivyo, amewataka watumishi wa umma kuwa mstari kuelezea miradi inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano chini ya Uongozi wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt John Magufuli.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai