• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Katibu Tawala Wilaya Ya Hai Aridhishwa Na Ujenzi Wa Madarasa

Imetumwa: July 14th, 2023

Katibu Tawala wilaya ya Hai Sospeter Magonera ametoa pongezi ameeleza kuridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Kawaya Kati vinavyojengwa  kupitia mradi wa BOOST.

Aidha Katibu Tawala Magonera ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi za utekelezaji wa miradi na kuwataka wananchi kuilinda miradi hiyo itakapokamilika.

Magonera aliambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Hai kwenye ukaguzi wa miradi hiyo inayotekelezwa kupitia mradi huo ambapo shule hiyo imetengewa fedha kiasi cha shilingi milioni 106, 300,000 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa na matundu matatu ya vyoo.

"Madarasa ni mazuri yanavutia, mimi toka nimefika kwenye wilaya hii ndiyo nimeona madarasa mazuri hapa Kawaya, majengo yapo mengi sehemu nyingi lakini hapa Kawaya mmetia fora, hivi ndivyo Serikali inataka, fedha zinazokuja ni nyingi kwa hiyo miradi lazima itekelezwe kwa ubora, angalau hapa wananchi wataona thamani ya fedha kwa sababu hizi ni fedha za wananchi na ubora huu ndiyo tunaoutaka" amesema DAS Magonera

Amewataka wananchi kuendelea kuchangia nguvukazi katika miradi hiyo ambayo ikikamilika italeta manufaa makubwa kwao"muendelee kuchangia nguvu zenu lakini vilevile muhakikishe kwamba ulinzi kwenye eneo hili la shule unakuwa mzuri na watoto wetu wanakuwa salama wakati wote"

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Hai Dionis Myinga amewataka mafundi kuendelea kutekeleza ujenzi huo kwa kuzingatia ubora na viwango pamoja na kukamilisha miradi kwa wakati nakusisitiza kuwa mafundi wanatakiwa kutoka katika eneo husika la mradi lengo likiwa ni kuwainua wananchi hao kiuchumi.

Kwa upande wake Kamanda wa TAKUKURU wilaya ya Hai Josiah Gunda amewataka wananchi kutembelea mara kwa mara miradi inayotekelezwa kwenye maeneo yao ili kujionea iwapo inatekeleza kwa ubora kwa lengo la kuisaidia Serikali kubaini mapungufu kwenye miradi hiyo ambayo ambayo huwanufaisha moja kwa moja wananchi hao.

Shule ya msingi Kawaya Kati imepokea fedha za mradi wa BOOST shilingi 106,300,000 ambapo 100,000,000 ni kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vinne (4) vya madarasa huku 6,300,000 zikielekezwa katika ujenzi wa matundu matatu (3) ya vyoo ambapo mradi ujenzi umefikia hatua ya plasta na fedha zilizotumika hadi hadi kufikia hatua hiyo ni 40,000,000 na kiasi kilichobaki ni 66,300,000 ambapo ujenzi unaendelea.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai