• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Kidato Cha Nne Wilayani Hai Watakiwa Kuondoa Hofu Wakati Wa Mtihani

Imetumwa: November 14th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Hai Juma Saidi Irando amewataka wanafunzi kutokuwa na hofu badala yakwe wawe watulivu wakati wa kufanya   mtihani ya kidato cha nne inayoonza leo.

Amesema hayo alipokuwa akizungumza na kipindi cha siku mpya kupitia Boma Hai FM na kuwataka wanafunzi hao kufanya mtihani yao kwa umakini ili kuiweka wilaya ya Hai katika nafasi nzuri ya ufaulu kitaifa.

Irando amewaongeza kuwa kamati ya ulinzi na usalama imejipanga vema kuhkikisha kuwa mtihani huo unafanyika kwa usalama unaotakiwa na kwakufata taratibu zote na kuwataka  wazazi kuendelea kuwapa sapoti na kuwatia moyo wanafunzi hao  ili waweze kufanya vizuri kwenye mitihani yao

Naye Mbunge wa jimbo la Hai Ndg. Saashisha Mafue amwawashukuru wazazi na walezi wa watoto kwa kutii wito kwa kuwapeleka watoto shule ili waweze kutimiza malengo yao

Amewapongeza wanafunzi kwa hatua hiyo waliyofikia kwakua  safari ya masomo yao yawezekana  haikuwa rahisi kwakua wamejiepusha na vishawishi vingi wa kundi rika  na kuwataka wakafanye vizuri kwa yale yote waliofundishwa.

Aidha amewashukuru viongozi mbali mbali kwa ushirikiano wao pamoja na kumshukuru Raisi wa jamhuri ya Muungani wa Tanzania Samia Suluhu Hasani kwa fedha za ujenzi wa madarasa katika wilaya ya Hai.

Naye Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Hai mwl. Juliasi Wiliam Mduma amesema maandalizi yote muhimu kwa ajili ya kufanya mtihani huo yamekamilika na kuwataka  wazazi kuwadhibithi watoto wanapo rudi nyumbai ili kujisomea  na kutengeneza ufauli mzuri kwani ndo lengo la kila mzazi

Halmashauri ya wilaya ya Hai inategemea watahiniwa zaidi ya elfu tatu watafanya mtihani wa kidato cha nne ambapo wavulana ni 1353 na wasichana ni 1680 huku wanafunzi wanaojitegemea (private candidate) ni 155 ambapo wavulana ni 64 na wasichana ni 91 pia watahiniwa wa mtihani wa maarifa (q.t) ni 18 ambapo wavulana ni 10 na wasichana ni 8

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai