• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Maafisa Ugani 50 Wakabidhiwa Vishkwambi

Imetumwa: September 19th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai,

Ndg. Dionis Myinga, amekabidhi vishikwambi

kwa Maafisa Mifugo wa wilaya hiyo ikiwa ni

sehemu ya juhudi za kuboreshautoaji wa hudumakatika sekta ya mifugo.


Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano hayo, Ndg. Myinga amesema kuwa hatua hiyo

inalenga kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa takwimu, ufuatiliaji wa afya za mifugo na

kuimarisha mawasiliano kati ya maafisa na

wafugaji.


“Vishkwambi hivi vitawawezesha maafisa wetu kukusanya taarifa sahihi za mifugo, kufuatilia

magonjwa kwa wakati na kuwasilisha taarifa kwa haraka kwenye makao makuu ya wilaya.

Ni hatua muhimu ya kisasa katika usimamizi wa mifugo hapa Hai,” amesema Dionis Myinga


Nae Mkuu wa divisheni ya kilimo, ufugaji na uvuvi, Ndg David Lekei amesema

“kuna zoezi la kitaifa la kudhibiti magonjwa

lililoanza mwezi wa saba hivyo vishkwambi hivi vitatusaidia sana katika kukusanya takwimu" hivyonaamini


Kwa upande wao, Maafisa Mifugo waliopokea

vishkwambi hivyo walishukuru na kuelezakuwa

vifaa hivyo vitarahisisha kazi zao za kila siku

mashinani na kupunguza urasimu wakaratasi.

Waliahidi kutumia vishkwambi hivyo kwa ufanisi ili kuwanufaisha wafugaji wa wilayaya Hai.


Hafla hiyo ni sehemu ya mpango wa serikali wa kuendeleza matumizi ya teknolojia yakidijitali

katika sekta ya kilimo na mifugo kwa lengo la

kuongeza tija na kuhakikisha usalamawa chakula.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA UCHAGUZI MKUU July 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA, MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA MHUDUMU WA JIKONI June 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mkuu Wa Eialya Ya Hai Aagiza Uchonguzi Chanzo Cha Moto Nronga

    September 26, 2025
  • Mkuu Wa Mkoa Wa Kilimnjaro Aridhishwa Na Utekelezaji Wa Miradi

    September 25, 2025
  • Hai Yaadhimisha Siku Ya Usafishaji Mazingira Kwa Kufanya Usafi

    September 20, 2025
  • Maafisa Ugani 50 Wakabidhiwa Vishkwambi

    September 19, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai