• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mabaraza ya Kata Yaongezewa Ujuzi Kusimamia Haki

Imetumwa: September 15th, 2020

Rai imetolewa kwa mabaraza ya kata katika Wilaya ya Hai kuwahudumia wananchi kwa kuzingatia misingi na maadili ya kazi zao na kujitenga na vitendo vinavoashiria rushwa wakati wa kushughulikia migogoro inayofikishwa kwao.

Rai hiyo imetolewa na mwanasheria wa wilaya ya Hai Blandina Mweta wakati wa mafunzo ya muongozo wa uendeshaji wa mabaraza ya kata yaliyofanyika katika Kata ya Bondeni.

Kauli hiyo imefuatia shutuma nyingi kutoka kwa wananchi kuwa wajumbe wa mabaraza ya kata wanajihusisha na matukio yanayoashiria kupokea rushwa na kufanya maamuzi kwa upendeleo kwa sababu ya ushawishi.

Pia ameendelea kusisitiza kuwa wananchi wanatoa shutuma hizo bila uthibitisho na kuwasihi wale wote watakaoshindwa kesi na kuona wameonewa wakate rufaa katika mahakama ya baraza za ardhi ya wilaya au mahakama ya mwanzo na sio kulalamika.

Mweta amewakumbusha wananchi kuwa iwapo kuna mtu atakuwa na ushahidi wa tuhuma za vitendo vya rushwa anapaswa kupeleka malalamiko yake katika mamlaka zinazohusika na mapambano ya rushwa.

Na ameendelea kuwasisitiza wajumbe wa baraza la kata watende haki katika kutimiza majukumu yao na kutafuta suluhu kabla ya kusikiliza kesi.

Kwa upande wake Afisa wa TAKUKURU kituo cha Hai Julius Msoka amewakumbusha wajumbe wa mabaraza ya kata kuepuka vitendo vinavyoashiria mazingira ya rushwa  kama kupokea hongo au zawadi mbalimbali kutoka kwa mtu mwenye kesi.

Matukio mengine yanayotakiwa kuepukwa ni pamoja na ushawishi wa kingono na watu wanayemhudumia kwenye baraza hilo akiwa ni mlalamikaji au mlalamikiwa kitu ambacho kitaathiri maamuzi ya shauri husika.

Aidha Msoka amesema moja ya majukumu ya TAKUKURU ni kuzuia rushwa kwa kutoa elimu na namna ya kutambua na kuepuka vitendo vya rushwa kwenye mazingira tofauti.

‘’Tunatoa elimu kwa wananchi, wa rika na kazi mbalimbali ikiwemo wajumbe wa mabaraza ya kata ili waweze kuelewa dhana ya rushwa na madhara yake ili waweze kutuunga mkono katika mapambano hayo”

Mafunzo kwa wajumbe wa mabaraza ya kata ni namna ya kuwaongezea uwezo katika kutekeleza majukumu yao kwa weledi huku wakizingatia sheria na taratibu zilizowekwa ikiwemo kuepuka vitendo vya rushwa ili kuimarisha upatikanaji wa haki kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai