• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Machine Tools Kuanza Kuzalisha Tela za Trekta

Imetumwa: July 4th, 2019

Wito umetolewa kwa wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro hususani wakulima kujitokeza kununua matrekta  kwa ajili ya kuendeleza sekta ya kilimo.

Wito huo umetolewa hii leo na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa  katika hafla ya kukabidhi tela la trekta na michoro yake iliyofanyika katika kiwanda cha Machine Tools Machame  wilayani Hai.

Amesema kuwa katika kuelekea Tanzania ya uchumi wa kati wakulima wanayo nafasi kubwa kuipeleka nchi katika ujenzi wa viwanda ikiwa ni kwa sababu idadi kubwa ya watanzania ni wakulima na kwamba malighafi nyingi za viwanda zinatokana na kilimo.

Aidha amewataka KMTC kwa kushirikiana na SIDO kujikita kuwasaidia wakulima wadogo kwa kutengeneza zana ndogondogo za kilimo kwa ajili ya matumizi ya shambani.

Pia ameelekeza NDC kwa kushirikiana na TEMDO, KMTC na SIDO kuandaa mpango mkakati wa namna ya kushughulikia changamoto za viwanda nchini.

Wakati huohuo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Anna Mghwira amewataka wasimamizi wa kiwanda hicho kuweka nguvu kwenye uzalishaji ili kukuwezesha kiwanda kukidhi mahitaji ya uendeshaji ikiwemo kulipa mishahara ya watumishi, huduma za umeme na maji pamoja na mahitaji mengine lakini pia kufanya kazi kwa bidii kurudisha hadhi na heshima ya kiwanda hicho kilichokuwa kinafanya kazi usiku na mchana na kuajiri watu wengi.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya amewashauri MDC kutumia ardhi iliyopo kwa kushirikiana wawekezaji wengine ikiwemo sekta binafsi ili kutumia kikamilifu ardhi iliyopo yenye zaidi ya ekari 500 hasa ikizingatiwa eneo hilo kuwa muhimu kwa uwekezaji.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo  ameahidi kutoa ushirikiano kwa kutumia redio ya halmashauri yake (Radio Boma Hai FM) kutoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma zinazotolewa na kiwanda hicho.

Akizungumza kwenye hafla hiyo Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Hai Kumotola Kumotola ameshauri kupewa kipaumbele wananchi wa wilaya ya Hai na maeneo ya karibu katika kupata ajira kwenye kiwanda hicho ili kuifanya jamii inayozunguka kuwa sehemu ya kiwanda hicho.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai