• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Madarasa Mawili Kujengewa Shule ya Msingi Nkwanara

Imetumwa: June 27th, 2024

Serikali imetoa jumla ya shilingi   70,100,000 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 2 ya awali ya mfano katika shule ya msinngi Nkwanara kijiji cha Kyeeri kata ya Machame Magharibi kupitia mradi wa BOOST.

Akizungumza wakati akitambulisha mradi huo kwa wananchi,mratibu wa  Boost wilaya ya Hai ndugu Japhari Zaidi amesema pamoja na madarasa hayo pia kitajengwa choo chenye matundu sita  na sehemu ya watoto kuchezea.

Zaidi amezitaka kamati Pamoja na viongozi kuhakikisha fedha zilizotolewa na Serikali kutekeleza mradi huo zinatosheleza na kutoisababishia serikali madeni yasiyo kuwa ya lazima.

“tumepokea shililini milioni 70 na 100,000 niombe fedha hiyo iende ikatekeleze mradi mwanzo mwisho na kukamilisha mradi ,hakutakuwa na fedha yoyote ya ziada kutoka mahala popote endapo mradi utakuwa haujakamilika”

“Isisje ikafika wakati mnamsumbua mhe Diwani, Mwenyekiti pamoja na Mtendaji kwenda kubambua wananchi kwa ajili ya kuchangia fedha za kukamilisha mradi”alisisitiza Zaidi.

Ndugu Zaidi amewataka wajumbe watakao teuliwa katika kamati mbali mbali za utekelezaji wa mradu huo pamoja na Serikliali ya kijiji na wananchi kuhakikisha kuwa vifaa vinatunzwa na vinatumika kama ilivyo kusudiwa.

Akizungumza kwa naiba ya wenzake ndugu Tegemea Swai ameishikuru serikali kwa kutoa fedha hizo ambazo amesema zitasaidia kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi na kuwasihi wananchi kutoa ushirikiano kipindi chote cha utekelezaji wa mradi huo.

Kwa upande wake diwani wa kata hiyo Martin Munisi ameishukuru serikali kwa kutoa kiasi hicho cha fedha ambacho kitabadilisha tawira nzima ya shule hiyo.

“tunamshukuru sana Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa fedha hizi ,tunamshukuru Mbunge wa Jimo la Hai Saashisha Mafue kwa ufatiliaji wake na nipende kuwajulisha tu wananchi kuwa mbali na fedha hizo pia halmashauri imetutengea shilingi milioni 16 kwa ajili ya ujenzi wa choo katika shule hii hivyo tatizo la vyoo litakwisha kabisa”

Munisi pia amemtaka Mwalimu Mkuu wa shule hiyo kutokubali kuyumbishwa na yeyote wakati wa utekelezaji wa mrdi huo bali asimamie sheria,taratibu,kanuni na miongozo ya serikali.

Hivi karibuni halmashauri ya wilaya ya Hai imepokea kasi cha shilingi 773,100,000 kwa ajili ya uboreshaji wa mazingira ya kujifunzi kupitia mradi wa BOOST ambapo shule ya Nkwanara ni miongoni mwa shule zilizo nufaika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai