• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Madiwani Hai Waishukuru Serikali Kwa Kutenga Bilioni 1.5 Kwa Ajili Ya Barabara

Imetumwa: November 3rd, 2021

Baraza la halmashauri ya wilaya ya Hai limemshukuru Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kutenga kiasi cha   shilingi Bil 1.5 z kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya barabara za vijiji na mitaa katika wilaya ya Hai, lengo likiwa ni kurahisisha usafiri kwa wananchi wakiwemo wakulima walioko maeneo ya vijijini.

Baraza hilo limetoa shukrani hizo baada ya taarifa iliyotolewa kwenye kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo Novemba 2, 2021 katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Hai na Meneja wa TARURA wilayani HAI ndugu Rickson Lema juu ya serikali kutenga kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya matengenezo ya barabara wilayani humo.

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Edmund Rutaraka baada ya kupokea taarifa hiyo amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na mhe. Rais Samia Suluhu Hassan imetenga fedha hizo ili kutengeneza barabara hizo kwa kiwango cha changarawe ili ziweze kupitika kwa urahisi kuwafikia wakulima na hivyo tunamtaka  menejeza wa TARURA wilayani humu kuishirikisha halmashauri katika utekelezaji wake kama ambavyo ameelekezwa.

“Tulikuwa tunajadili ni jinsi gani tunaweza kutumia Bilioni 1.5 zilizotolwa na Mama Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya ujenzi wa barabara za vijiji na mitaa zile ambazo zinashida kwelikweli kwa kuwa maelekezo ya Mhe. Tunatengeneza barabara kwa kiwango cha changarawe ili barabara ziweze kupitika vijijini kuwafikia wakulima kuchukua mazao yao na kuyapeleka sokoni” alisema Rutaraka.

Aidha Rutaraka akizungumzia kuhusu mapato ya Halmashauri hiyo amesema kuwa hadi kufikia mwezi septemba halmashauri hiyo ilifikia asilimia 21 na kuwataka madiwani kuendelea kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuendelea kuboresha katika eneo hilo.

Kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Dionis Muyinga amewataka madiwani na watumishi kushirikiana katika kufanya jitihada za kusimamia ukusanyaji wa mapato sambamba na kudhibiti upotevu wa mapato ya halmashauri hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai