• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Madiwani Wakumbushwa Kusimamia Kimalifu Usimamizi Wa Mazingira

Imetumwa: March 10th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Edmund Rutaraka amewataka madiwani wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanasimamia kikamilifu utunzaji wa mazingira ikiwemo kuzuia ukataji holela wa miti unaosababisha  mabadiliko makubwa ya tabia nchi.


Rutaraka ambaye ni diwani wa kata ya Muungano wilayani humo amesema kuwa licha ya kwamba mchakato wa vibali vya ukataji miti vinapitia kuanzia ngazi ya vijiji hadi wilayani lakini pia madiwani wanayo nafasi ya kusimama imara kuhakikisha ukataji wa miti kiholela unadhibitiwa.


Ameyasema hayo katika kikao cha baraza la madiwani  kilichofanyika kwenye ukumbi wa halmashauri hiyo kufuatia hoja iliyoibuliwa na diwani wa kata ya Mnadani Nasibu Mndeme ya kuweka msisitizo wa namna ya kusimamia utunzaji wa mazingira katika wilaya ya Hai.


"Hoja hii pamoja na kuletwa kwenye baraza letu, lakini tayari Mhe. Mkuu wa wilaya ambaye ndiye Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya tayari alishaanza kulishughulikia, kwahiyo sisi kwenye baraza tulileta ili kuweka msisitizo na madiwani wote waweze kuwa na lugha moja ya kuhakikisha wanasimamia mazingira"


Kwa upande wake katibu Tawala wilaya ya Hai Upendo Wella amewataka viongozi wa ngazi za chini wakiwemo watendaji na madiwani kuhakikisha wanachukua hatua za kuzuia uharibifu wa mazingira ikiwemo ukataji wa miti usiofuata taratibu.


Naye mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Dionis Myinga ameeleza kuwa jukumu la kutunza mazingira ni la kila mtu na kuwataka wananchi wote wa wilaya hiyo kushirikiana katika kutunza mazingira.


Katika hatua nyingine baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Hai limeunda kamati ndogo yenye wajumbe wanne ambayo imepewa mwezi mmoja kuchunguza vitendo vya uharibifu wa mazingira kwenye vyanzo vya maji wilayani humo baada ya kusemekana kuwa kuna watu wamekuwa wakivamia na kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya mita 60 kwenye vyanzo vya maji.


Wajumbe walioteuliwa kwenye kamati hiyo ni diwani wa kata ya Mnadani Nasibu Mndeme, diwani wa kata ya Masama Magharibi  Machoya Natai, pamoja na madiwani wa viti maalum Ausen Nkya na Upendo Sawe.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai