• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Madiwani Waridhishwa Na Ujenzi Wa Miradi

Imetumwa: February 21st, 2023

Kamati ya fedha imeridhishwa na ujenzi wa madarasa mawili yaliyojengwa katika shule ya msingi makeresho iliyopo katika kata ya Machame Magharibi,ukarabati na ukamilishaji wa chuo cha ufundi Chekimaji  kilichopo katika kata ya Masama Rundugai pamoja na ujenzi unaoendea katika Hospitali ya wilaya ya Hai.

Akizungumza kwa nyakati tofauti katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo iliyofanywa na kamati hiyo, mwenyekiti wa halmashauri Edmund Rutaraka alisema kamati imefurahia na ujenzi wa miradi hiyo ambayo imetekelezwa kwa ubora na kwa kuhusisha kamati za ujenzi kwa  kiwango

Kinachotakiwa. “Mimi nimefarijika kwa ujenzi wa mradi huu wa madarasa mawili makeresho kazi iliyofanyika ni kazi nzuri , utekelezaji wake ni mzuri ikilinganishwa na miradi mingine, pia nimpongeze diwani wa kata hii kwa usimamizi na ufuatiliaji kwa karibu wa mradi huu” alisema Rutaraka

Kwa upande wake diwani wa kata hiyo James Mushi alimshukuru mhe Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa  fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa hayo yaliyokuwa chakavu.

“nimshukuru pia mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafue kwa kuomba na kufuatilia

fedha hizi, aliomba tupate madarasa manne na sasa tumepata haya mawili. Niishukuru halmashauri ya wilaya ya Hai kwa kukubali mradi huu ukaletwa hapa ,niwashukuru pia viongozi wa chama cha Mapinduzi kata ya Machame Mashariki ambao tumeshirikiana bega kwa bega katika kufuatilia ujenzi wa madarasa haya”alisema Mushi.

Kwa upande wake mjumbe wa kamati hiyo  Nasibu Mndeme  aliwataka viongozi kuwashirikisha wananchi  katika utekelezaji wa miradi hiyo kwa kuchangia nguvu kazi au fedha kadri watakavyokubalina kwenye vikao vyao hali ambayo itawafanya kujiona ni sehemu ya mradi.

Ujenzi wa madarasa mawili ya Makerosho yamegharimu kiasi cha shilingi 40,00

fedha ambazo zimetolewa na serikali kuu baada ya Mbunge wa jimbo la Hai kutoa maombi hayo katika ziara ya  Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Rais –Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(OR TAMISEMI) huku  ukarabati na ukamilishaji wa chuo cha ufundi cheki maji ukitekelezwa kwa kiasi cha shilingi  36,111,264 fedha kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) na ujenzi unaoendela katika hosptali unagharimu kiasi cha shilingi 1,044,056,630 kati ya hizo jengo la maabara linajengwa kwa kiasi cha shilingi 236,029,152,jengo la stoo ya dawa kiasi cha shilingi 192,733,205,upanuzi wa wodi ya wazazi 125,741,462,jengo la wodi daraja la kwanza 210,141,322 na walk ways shilingi  279,411,489.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai