• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Madiwani Wateule wakabidhiwa Vyeti vya Ushindi Hai

Imetumwa: October 14th, 2018

MADIWANI wanne waliochaguliwa katika chaguzi mbili ndogo katika jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro wamekabidhiwa vyeti vyao vya ushindi na msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Hai Yohana Sintoo.

Madiwani waliokabidhiwa vyeti ni wale waliochaguliwa katika uchaguzi uliofanyika Septemba 16 mwaka huu, ambapo mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Robsoni Kimaro kutoka kata ya Machame Uroki na ndugu Yohana Laiza (CCM) ambao wote walishinda kwenye maeneo yao. 

Pia katika waliokabidhiwa vyeti ni madiwani wa kata ya Romu Shimiliafoo Kimaro na diwani wa kata ya Masama Kusini Elibariki Mbise ambao walipita bila kupingwa katika uchaguzi uliotarajiwa kufanyika Oktoba 13 mwaka huu.

Akiwakabidhi vyeti hivyo, Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Hai Yohana Sintoo ameeleza kuwa uchaguzi ulifanyika kwa amani na utulivu huku kila chama kikifuata taratibu zote zilizokuwa zikitarajiwa katika uchaguzi

“Uchaguzi ulifanyika  kwa  wazi na hakuna chama chochote kile ambacho kimeonyesha kutokuridhika na matokeo hali hii inaonesha ni jinsi gani demokrasia imekua katika jimbo hili” amesema sintoo.

Naye Katibu wa CCM Wilaya ya Hai Kumotola Kumotola amewashukuru wananchi kwa kuendelea kukiamini chama cha CCM kwa kukipa ushindi hii ikiwa ni matunda ya matokea ya utekelezaji ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015-2020.

Kwa upande wao madiwani wateule wakizungumza kwa nyakati tofauti wameonesha kufarijika na namna wananchi wa kata zao walivyoonesha Imani na CCM na kuichagua kuwawakilisha kwenye vikao vya Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Hai na kuahidi kuwatumikia wananchi kwa nguvu na akili zao zote katika kusimamia upatikanaji wa maendeleo katika maeneo yao.

Diwani Mteule wa kata ya Kia Yohana Laiza amebainisha kuwa yupo tayari kushirikiana na madiwani wenzake katika kufanikisha kazi kuu ya kupunguzia wananchi kero wanazokutana nazo kwenye maisha.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai