• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Maili Sita Yatwaa Ubingwa Saashisha Cup 2023

Imetumwa: April 14th, 2023

Michuano ya mashindano ya Mbunge wa Jimbo la Hai , mkoani Kilimanjaro, Saashisha Mafuwe yamefikia tamati toka yalipoanza  mwezi Agost 2022 kwa ya kata ya Mnadani  ya Maili Sita fc kutwaa ubingwa  huo.

Timu ya Mailisita  itwaa ubingwa wa Mashindano ya Saashisha Cup 2023 baada ya kuibwaga timu ya Machame City kutoka kata ya Machame Kaskazini kwa jumala ya mabao 2-0 mcezo ulio chezwa katika uwanja wa chuo cha Ufundi Hai.

Mgeni rasmi katika fainali hizo , Naibu Waziri Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma (MB) amesema   kuwa serikali itaendelea kuboresha sekta ya michezo nchini kwa kufanya maboresho  ya miundombinu ya michezo hususani viwanja viliko vijijini  .

Amesema mpango  wa uboreshaji wa miundombinu ya michezo itasaidia kuibua vipaji kuanzia ngazi za mitaa kijiji , kata wilaya ,mkoa na hata taifa  kwa maeneo mengi ya vijiji kumekuwepo na vijana wenye vipaji lakini wanashindwa kuvionyesha kutoka na kukoseka kwa viwanja vyenye sifa .

Naibu wa Waziri Mwinjuma amempongeza mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafuwe kwa kuanzia mashindano hayo kwani yameleta mshikamo na umoja kwa wananchi bila kujali itikali za vyama vyao vya kisiasa .

“Nikupongeze sana mheshimiwa Saashisha kuwa kuanzia mashindano hayo bali na kujenga umoja na  mshikamo kwa jamii pia yamesaidia kuibua vipaji vya soka kwa vijana wa jumbo lako na Tanzania kwa jumla yamesaidia kuepusha maswala ya kiuhalifu ”.

Mbunge wa jimbo la Hai, Mafuwe amesema mashindano hayo niendelevu  na lengo ni kuipua vipaji vya vijana na kuviendeleza  kwa kuwatafutia vilabu vikubwa hapa nchini kwa ajili ya majaribo na hatimaye kusajiliwa.

Akizungumza katika fainali hizo mkuu wa Wilaya ya Hai, Amiri Mkalipa amesema mashindano hayo yamesaidia vijana kuachana na mambo yasiyofaa katika jamii huku akisisitiza kwamba kazi ni msingi mkubwa wa maendeleo.

Awali akitoa taarifa ya mashindano hayo, Mwenyekiti wa chama cha Mpira wilaya hapa (HADFA) Omary Mlekwa amsema kuwa jumla timu 84 zilishiriki mashindano hayo yaliyoanzia ngazi ya kata  

Mlekwa amesema bingwa wa mashindano hayo aliibuka na kitita cha shilingi laki tano ,jezi seti na mpira mmoja pamoja na kombe huku wachezaji wote wakivalishwa medali , Mshindi wa pili katika mashindano hayo timu ya Machame City  alijitwalia kitita cha shilingi laki laki tatu , jezi seti moja , na mpira pamoja na medali kwa kila mchezaji.

Mshindi wa tatu katika mashindano hayo timu ya Lambo fc ilijipatia mpira mmoja na shilingi laki mbili, na timu ya nne Orori ilijipatia kiasi cha shingi laki moja na mpira mmoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai