• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Makabidhiano Wakurugenzi: Sintoo AShukuru Ushirikiano Halmashauri ya Hai

Imetumwa: August 9th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai anayemaliza muda wake Yohana Sintoo anajivunia mafanikio ya Halmashauri hiyo kwa kipindi cha miaka mitano aliyokuwa msimamizi wa shughuli za maendeleo.

Sintoo amezungumzia Halmashauri ya Wilaya kupata hati safi kwa kipindi cha mwaka 2016/2017 hadi 2021 anapoikabidhi kwa Mkurugenzi mwingine.

Pia amesema Halmashauri imefanikiwa kutekeleza miradi ya maendeleo ya muhimu kwa wananchi katika sekta za elimu, afya, kusambaza maji na huduma nyingine za msingi kwa ustawi wa wananchi.

Aidha Sintoo ametumia nafasi hiyo kuwashukuru Wakuu wa Idara na Vitengo; waheshimiwa Madiwani pamoja na watumishi wote  wa Halmashauri ya Hai kwa ushirikiano waliompatia wakati wote alipokuwa Mkurugenzi wa Wilaya hiyo.

Amebainisha hayo wakati akikabidhi ofisi ya Mkurugenzi kwa Dionis Myinga aliyeteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupokea jukumu hilo katika uteuzi uliofanyika hivi karibuni.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Dionis Myinga amesema yupo tayari kufanya kazi katika Halmashauri ya Hai kutekeleza majukumu yanayompasa kwa nafasi yake akitumia uwezo na taaluma yake kufanikisha majukumu yake.

“Mimi kwenye kazi siyo mgeni, nimekuwa Mkurugenzi huko nilikotoka, nafahamu namna ya kufanya kazi kwa utaratibu”

“Pia nitafanya ziara ya kuzungukia miradi iliyotekelezwa na ile inayoendelea kutekelezwa kwenye halmashauri ili nipate kwa kuanzia katika kutekeleza kazi nzuri iliyoanzishwa na mtangulizi wangu” Amesisitiza Myinga.

Amebainisha kuwa kwa kushirikiana na madiwani na watumishi kwa pamoja watashirikiana kuwaletea wananchi maendeleo wanayohitaji.

Aidha amemshukuru mtangulizi wake Yohana Sintoo kwa kazi nzuri alizozifanya ambazo matokeo yanaonekana kwa kubadilisha miundombinu na maisha ya wananchi kwenye halmashauri.

Zoezi la makabidhiano ya ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai limefanyika mbele ya Wakuu wa Idara na Vitengo likisimamiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Muungano Edmund Rutaraka.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai