• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mamlaka Zatakiwa Kuzingatia Sheria ya Maji

Imetumwa: May 24th, 2018

Mamlaka zinazojuhusisha na huduma ya maji kwa jamii imetakiwa kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia sheria ya Maji namba 12 ya mwaka 2009 inayoeleza wazi namna ya kushirikiana kati ya wahusika wakuu wa huduma hiyo ikiwemo serikali na vyombo vingine.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi Emmanuel Kalobelo ametoa agizo hilo kama mwongozo wa namna ya kushughulikia mambo yanayohusu huduma ya maji kwenye ngazi ya wilaya na mkoa ikiwemo kufahamu majukumu na mipaka ya wadau hao wakuu wa sekta ya maji.

Akizungumza na wadau wa huduma ya maji safi na maji taka katika wilaya za Hai na Siha alipofanya ziara ya kikazi kutembelea  miradi ya maji inayotekelezwa na wizara hiyo, amesema vyombo vinavyotoa huduma ya maji vinatakiwa kuzingatia sheria na miongozo iliyowekwa na kusimamia lengo kuu la kuwapatia huduma bora wananchi hasa kwa wakati huu ambapo nchi inapita kwenye mageuzi ya uchumi.

Kalobelo ameziagiza bodi za maji kuhakikisha kuwa gharama za kuvuta  maji nyumbani zinakuwa  nafuu ili kila mwananchi aweze kuzimudu ili kuweza kufikia malengo ya taifa  la upatikanaji wa maji kwa jamii.

Amefafanua kuwa lengo la kuanzishwa kwa mamlaka za utoaji wa huduma za maji ni kuisaidia serikali kufanikisha usambazaji wa huduma ya maji kwa wananchi kwa mujibu wa sheria ya maji.

“Bodi za maji zitaendesha shughuli zake kwa kufuata sheria za nchi na ili kuweza kutoa huduma za maji ni lazima usajiliwe kwenye mamlaka zinazohusika ili kuweza kupata eneo la kutolea huduma ya maji kwa jamii ya eneo husika  ”alisema Mhandisi Kalobelo

Aidha, Mhandisi Kalobelo alibainisha kuwa bodi za maji zitasaidiana na serikali kuboresha miundombinu pamoja na kuhakikisha kuwa zinafungua milango yake kwa wakaguzi wa serikali ili kuweka uwazi wa namna bodi hizo zinavyojiendesha.

Kwa upande wake Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, Yohana Sintoo  amesema kuwa amepokea agizo la Wizara la kuweka uelewa wa pamoja  na  kuhakikisha sheria za maji zinafuatwa na huduma za maji zinaboreshwa kwa manufaa ya wananchi wote. 

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha, Verial Juwal amesema kuwa wilaya hiyo ina bodi tatu zinazohudumia wakazi  zaidi 120,000 kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 kwenye kata 17 za wilaya ambapo  kwa sasa wananchi wanapata maji kwa  asilimia 84.

Hata hivyo Mwenyekiti wa Bodi ya Lyamungo-Umbwe Michael Mmasy  amesema  kuwa wataendelea kushirikiana na serikali ili kuhakikisha kuwa huduma za maji zinaboreshwa kwa kuwafikia wananchi wote wanaofikiwa na mtandao wa maji .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai