• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Masama Rundugai Waishukuru Serikali

Imetumwa: June 25th, 2023

Wananchi wa Kata ya  Masama Rundugai wameishikuru serikali kwa ujenzi wa tanki la maji la lita 100,000 katika eneo la Kilimambogo kata ya Bondeni wilayani Hai.

Wakizungumza wakati wa uzinduzi wa tanki hilo wakati wa mbizo za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2023,wananchi hao wamesema kwa kujengwa kwa tanki hilo kutawaokolea gharama na muda walio kuwa wakitumia kutafuta maji kwa ajili ya matumzi way a familia zao.

Wamesema wakati mwingine wanafunzi walikuwa wakikosa masomo kwa sababu ya kutafuta maji umbali mrefu jambo ambalo lilikuwa linaadhiri mahudhuri ya watoto shuleni.

Kwa muijibu wa mkuu wa wilaya ya Hai miradi huo unalenga kutatua kero ya maji safai na salama kwa wananchi 9500 wa vijiji vya Kawaya  ,Rundugai, Chekimaji, Kilimabogo na chemka

Akisoma taarifa wakati wa Mbizo za Mwenge wa Uhuru wilayani Hai, Meneja wa Wakala wa maji safi na Usafi wa Mazingira Emmanuel Mwampashi amesema serikali ilitoa kiasi cha shilingi 100,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa tanki hilo lililojengwa kwa kiasi cha shilingi milioni 97.6.

Naye kiongozi wa Mbio za Mwenge Abdalla Shaib Kaim, amefurahishwa na utekelezaji wa mradi huo kujengwa kwa ubora unaotakiwa huku thamani ya fedha iliyotumika ikionekana.

“Kwa dhati kabisa baada ya kupongeza Serikali nichukue fursa hii kukupongeza wewe mhe Mkuu wa wilaya ukiwa msimamizi wa shuguli za miradi katika wilaya yako unafanya kazi kubwa kabisa na unatuheshimisha”,amesema Kaim.

‘tumefanya ukaguzi wa kina wa mradi na nyaraka kwa lengo la kujiridhisha  endapo mradi umezingatia viwango vya ubora na kama thamani inaakisi na kuendana na mradi,itoshe kusema katika mradi huu tumejirisha na mradi umejengwa kwa kiwango bora kabisa”.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Hai, Sashisha Mafue amesema ujenzi wa mradi huo utakuwa kichocheo cha shuguli za kichumi kwa kuwaokolea muda wanachi wa vijiji hivyo muda.

Tanki hilo la maji lenye ujazo wa maji lita 100,000 linatarajiwa kuwanufaisha wanachi 9500

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Ujenzi Wa Bweni La Shule Ya Machame Kukamilika Kabla Ya June 19

    May 29, 2025
  • Vijana Wasauriwa Kutumia Fursa

    May 27, 2025
  • Wafanyabiashara Wa St Stend Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Wafanyabiashara Wa Send Wasikilizwa

    May 22, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai