• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Millioni 77 Kunufaisha Vikundi vya Wajasiriamali Wilaya ya Hai

Imetumwa: June 26th, 2020

Zaidi ya shilingi milioni sabini na saba zimetolewa kwa vikundi 14 vya wajasiriamali wadogo katika halmashauri ya wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro.

Akikabidhi hundi hiyo leo kwa vikundi hivyo katika ukumbi wa Halmashauri ya Hai, Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Upendo Wella amevitaka vikundi  kutumia fedha hizo kwa uaminifu na kuhakikisha zinazalisha kwa faida ya Taifa na faida yao binafsi.

Amesema fedha wanazokopeshwa zinarudishwa bila ya Riba hivyo ni wakati wao kutumia fursa hiyo kujikwamua kiuchumi ikiwa ni pamoja na kuzalisha ajira kwa watanzania wengine.

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hai, Wang’uba Maganda ameishauri halmashauri hiyo kuona uwezekano wa kuwakopesha wananchi mikopo mikubwa yenye tija zaidi ili kujihusisha na miradi mikubwa itakayozalisha ajira nyingi.

Aidha Maganda amewaasa wananchi waliopata mikopo hiyo kupeleka fedha walizopata kwenye miradi waliyoombea mkopo na sio kutumia kwenye mahitaji ya binafsi.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Hai Elia Machange amewataka wajasiriamali waliopatiwa mikopo hiyo kulipa kwa wakati ili waweze kukidhi kupatiwa mikopo mingine pale watakapohitaji.

Machange amewahakikishia ushirikiano na usaidizi wa idara za halmashauri ikiwemo Idara ya Maendeleo ya Jamii hasa wakati wa kutekeleza miradi walioamua kuitekeleza.

Halmashauri ya Wilaya ya Hai ni miongoni mwa halmasahauri zinazotekeleza agizo la Serikali la kutenga asilimia kumi katika mapato yake ya ndani kwa ajili ya kuviwezesha vikundi vya Wanawake,Vijana na watu wenye Ulemavu na kwa mwaka wa fedha 2019/2020  halmashauri hiyo imetenga kiasi cha zaidi ya Sh. Million 176 kwa ajili ya kuwezesha makundi hayo.

Vikundi vilivyopatiwa Mkopo huo ni vikundi vya Wanawake 7,Vijana 4 na vikundi vya watu wenye wenye ulemavu vitatu ambapo vinajishughuisha na shuhuli mbalimbali za Kilimo na Ufugaji pamoja na viwanda vidogovidogo vya usindikaji ikiwemo mbogamboga na matunda.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai