• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkurugenzi Mtendaji Dionis Myinga Amshukuru Rais Wa Jamhuri Ya Muungano

Imetumwa: February 18th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Hai, Dionis Myinga, ameshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kazi yake ya kimapinduzi ya kuwapelekea fedha kwa ajili ya wananchi wanaotaabika kufuata umbali mrefu huduma za afya.

Amesema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi iliyofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Hai ndugu Said Juma Irando ,ambapo amesema ujenzi wa majengo manne na miundombinu ya majisafi na majitaka ya Kituo cha Afya Chekimaji, unaigharimu serikali Sh.milioni 340,000,000 na upanuzi wa majengo ya Kituo cha Afya Longoi, unaigharimu serikali Sh.milioni 400.

Aidha, alitoa wito kwa wananchi wa Kijiji cha Chekimaji, vijiji vya jirani na Kata ya Masama Rundugai, kwamba serikali kupitia Wilaya ya Hai, imewasogezea maendeleo makubwa katika eneo hilo, ambako kuna majengo manne ya Kituo cha Afya Chekimaji yameshaanza kujengwa pamoja na miundombinu ya majisafi na maji taka.

Awali, Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo, Nicetas Bongole, alisema wanategemea baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Chekimaji, utahudumia wananchi wa Kata ya Masama Rundugai na Kata jirani.

“Watu ambao tunawategemea watanufaika na huduma za afya katika Kata hii na Kata jirani ni watu takribani 19,000. Awali wananchi walikuwa wanazipata huduma hizi katika Hospitali ya Wilaya ya Hai iliyopo Bomang’ombe, kwa sababu ukanda wa tambarare ulikuwa hauna kituo cha afya,”alisema Bongole

Kuhusu Kituo cha Afya Longoi, ambacho kipo Kata ya Weruweru, Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo, alisema kituo hicho kimeshaanza kutoa huduma tangu Septemba mosi mwaka 2021, lakini kwa sasa kimepanuliwa kwa kuongezwa baadhi ya vitengo kama jengo la upasuaji, jengo la kufulia, wodi ya wazazi na nyumba ya mtumishi.

Kwa mujibu wa Bongole, Kituo cha Afya Longoi, kitahudumia watu takribani 13,000 wanaotoka Kata ya Weruweru, Mnadani na baadhi ya maeneo ya Kata ya Masama Rundugai.

Matangazo

  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2023 WILAYA YA HAI November 23, 2023
  • MAJINA YA WALIOITWA USAHILI NAFASI ZA JESHI WILAYA YA HAI September 06, 2023
  • TANGAZO LA UKUSANYAJI NA UZOAJI TAKA HAI MJINI September 27, 2023
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Mhe Kaijage Awataka Watumishi Kufanya Kazi Kwa Bidii

    November 22, 2023
  • Mkalipa Ataka Viongozi Wa Dini Kufundisha Waumini

    November 08, 2023
  • Wananchi wa Kijiji cha Sanya Station Washukuru Ulipwaji Wa Fidia

    October 25, 2023
  • Mkurugenzi Dionis Myinga Aishukuru Kambele Kwa Msaada Wa Sementi

    October 23, 2023
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 27 Hai

    Simu: 0272758441

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai