• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkurugenzi Sintoo Ahimiza Matumizi Sahihi Fedha na Muda Kutekeleza Miradi ya Maendeleo

Imetumwa: February 15th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai Yohana Sintoo amezitaka Idara za halmashauri hiyo zilizopokea fedha za miradi ya maendeleo kuelekeza nguvu katika kutekeleza miradi hiyo kwa wakati na kuhakikisha kuwa kazi inafanyika kwa kuzingatia thamani ya fedha.

Akizungumza kwenye kikao cha asubuhi na watumishi wa makao makuu ya halmashauri hiyo Sintoo amesema kuwa fedha za Serikali hazitakiwi kukaa kwenye akaunti muda mrefu badala yake utekelezaji wa kazi za miradi uanze mara moja.

Sintoo amesema kuwa atafanya ziara za mara kwa mara kukagua utekelezaji wa miradi hiyo katika hatua zote kuanzia kazi inapoanza hadi inapofikia kukamilika akiambatana na wakuu wote wa idara na vitengo vya halmashauri yake huku akiahidi kufanya ziara ya kwanza tarehe 28 mwezi Machi.

Kwa upande mwingine Sintoo amewakumbusha watumishi wa Serikali kufanya kazi kwa moyo, kutumia vizuri rasilimali za serikali ikiwemo muda na kutekeleza majukumu waliyopangiwa kwa ufanisi huku wakihakikisha kuwa wananchi wanaohitaji huduma zao wanapata na kuridhika na huduma bora.

Ametumia kikao hicho kumpongeza Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala Maria Kivelia kwa namna anavyosimamia watumishi ikiwemo barua alizowaandikia watendaji wa kata na vijiji kuhusu utekelezaji wa majukumu yao.

Amewakumbusha watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha kuwa wanafanya vikao vya kisheria vya ngazi ya kata na halmashauri za vijiji ili kuwapa wananchi nafasi ya kufikisha mawazo yao katika utekelezaji wa majukumu.

Awali akitoa taarifa ya mapokezi ya fedha kutoka Serikali kuu Mkuu wa Idara ya Mipango Herick Marisham amesema kuwa halmashauri imepokea shilingi milioni mia mbili themanini (280,000,000) kati yake sh. 100,000,000 kwa ajili ya miradi ya afya na sh. 180,000,000 zitaelekezwa kwenye miradi ya elimu.

Marisham ameongeza kuwa fedha hizo zitapelekwa kwenye miradi ya ukamilishaji majengo ya maabara kwenye shule 6 za sekondari ndani ya halmashauri hiyo ambapo kila shule itapatiwa sh. 30,000,000.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai