• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkurugenzi Sintoo Avutiwa Mafanikio Hai Rural Teachers Saccos

Imetumwa: December 9th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Hai imeahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa vyama vya ushirika ili kuvipa nafasi ya kushiriki ujenzi wa uchumi wa mtu mmojammoja na hatimaye kuchangia katika kuimarisha uchumi wa wilaya nzima.

Akizungumza kwenye ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 20 wa mwaka 2020 wa Chama cha Akiba na Mikopo cha Walimu (Hai Rural Teachers Saccos); Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai Yohana Sintoo amesema kuwa ofisi yake ipo tayari kushiriki katika kuimarisha chama hicho cha akiba na mikopo.

Amesema utayari huo unasababishwa  na mafanikio yanayoonekana kwenye chama hicho ikiwemo kupata hati inayoridhisha kwa miaka minne mfululizo katika ukaguzi wa hesabu za chama, kufanikiwa kujenga jengo zuri la kisasa kuhudumia shughuli za chama pamoja na mwelekeo wa chama kujiendesha kwa faida.

Sintoo amewapongeza wananachama kwa mafanikio yaliyofikiwa na zaidi amepongeza viongozi wa chama hicho hususani bodi na menejimenti ya chama kwa namna wanavyosimamia chama kwa weledi na uaminifu.

Pia Sintoo amewataka watumishi wa umma wanaonufaika na huduma za chama hicho ikiwemo mikopo; kuitumia vizuri kujiimarisha kiuchumi kwa kufanya miradi ya kuwaingizia kipato na kuboresha maisha.

Awali akisoma risala kwa mgeni rasmi; Mwenyekiti wa Bodi Terewandumi Swai amesema hadi kufikia 31/10/2020 chama kimeonesha ukuaji mkubwa ambapo akiba imeongezeka kutoka sh. 3,708,187,864 mwaka 2016 hadi kufikia 6,291,425,330.

Chama kimefanikiwa kutoa mikopo ya shilingi 41,513,612,000 tangu kianzishwe hadi mwisho wa mwezi Oktoba iliyosaidia wanachama kufanya shughuli za kilimo, ufugaji, ujenzi wa nyumba za makazi na biashara, kununua vyombo vya usafiri na kuhudumia dharura mbalimbali.

Aidha chama kinaiomba serikali kuondoa tozo ya 2% ya makato ya inaolipwa hazina kila mwezi ambapo chama hutozwa shilingi milioni 6 kwa mwezi kwani chama kinaendelea kulipa kodi ya mapato na wanachama nao wanalipa kodi.   

Hai Rural Teachers Saccos ni chama cha akiba na mikopo kinachohudumia watumishi wa umma katika wilaya za Hai na Siha kilichoanzishwa mwaka 2000 kikiwa na wanachama 67 waliokuwa viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Hai wakiwa na mtaji wa shilingi 335,000 mwaka huu kikiwa kinatimiza miaka 20 na kwa ungozi wa bodi na Meneja Upendo Lyatuu chama kimefikisha wanachama 2,335 mwaka 2020 na kinaendelea kuvutia wanachama wapya.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai