• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Hai District Council
Hai District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hai

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Accounts and Finance
      • Utawala na Utumishi
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Taarifa Idara ya Kilimo
      • Mifugo na Uvuvi
        • Wasilisho Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
      • Maporomoko ya Maji ya Nshara
      • Chemchemi ya Chemka
      • Mila na Utamaduni
      • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Industry and Trade
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Elimu
    • Kilimo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Mipya
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
      • Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
      • Ahadi ya Uadilifu Watumishi
      • Fomu ya Maombi ya Likizo
      • OPRAS Walimu
      • OPRAS Watumishi
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Taarifa kwa Umma-Mikopo
    • Jarida
  • Mifumo
    • Mfumo wa Kiuhasibu (FFARS)
    • Mfumo wa Bajeti (Planrep)
    • Mfumo wa Vibali Safari za Nje
    • Mfumo wa Taarifa za Mapato (LGRCD)
    • Mfumo wa Taarifa za Shule (TanzaniaSIS)
    • Usajili Kupata TIN (TRA)

Mkuu Wa Mkoa Aridhishwa Na Ujenzi Wa Madarasa

Imetumwa: November 8th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu ameelezea kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa madarasa 10 unaotekelezwa na fedha kutoka serekali kuu wilayani Hai mkoani humo utakaogharimu ya shilingi 200.

Babu ameyasema hayo katika ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa vyumba hivyo iliofanyika katika shule za sekondari Longoi, Hai na Mukwasa ziliyo Hai mkoani Kilimanjaro.

‘’Yaani sitaki niseme uongo nimetembelea madarasa 6 kati ya 10 yanayojengwa Hai nimefurahishwa na kuridhiswa na kasi ya ujenzi kwenye mkoa wangu kwasababu nimeanzia wilaya ya Hai na wamefanya vizuri na mwanzo ndio unaokupa picha kamili ya hali ilivyo nimatumaini yangu kuwa na huko ninakokwenda Siha, Rombo, Mwanga, Same Moshi mjini na vijijini nao watakuwa wamefanya vizuri kama wenzao wa Hai’’.amesisitiza Babu

Babu pia amewataka wakurugenzi wote kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika kama ilivyo kusudiwa na kuzuia mianya yote ya matumizi yasiyofuta taratibu na sheria ya matumizi ya fedha za Umma.

‘’Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan anatafuta fedha hizi kwa tabu sana kwa kuhakikisha watanzania wanapata elimu bora, hizi sio fedha za kufanyia mchezo na sio fedha za kupanga matumizi mengine zijenge madarasa na kuhakikisha yanakamilika kwa muda ulioelekezwa” amesisitiza Babu.

Mkuu huyo wa Mkoa pia amewataka wazazi kushikiana na serikali kwa kumuunga mkono Rais wa Jamuuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani kwa kuchangia katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo na kusimamia vema utekelezaji wake.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Hai Dionis Myinga amemshukuru Rais kwa fedha hizo huku akiongeza kuwa madarasa hayo yatakamilika katika muda uliopangwa.

Amesema pamoja na miradi hiyo kuna miradi mingine mingi inayotekelezwa na fedha za mapato ya ndani na kuongeza kuwa kwa mwaka huu pekee wilaya ya Hai imetenga zaidi ya milioni 825 ya mapato ya ndani kwa shuguli za kimaendeleo.

‘’Ukienda shule ya sekondari Mnadani kuna madarasa mawili, vyoo  kwenye soko la maiputa, tumekarabati choo kwa sadala sokoni, shule ya msingi Nsongoro tumejenga madarasa manne kwa zaidi ya milioni 80, ukamilishaji  wa sekondari ya Shirimatunda  lakini pia shule ya msingi Lambo tunamalizia ujenzi wa matundu 24 ya choo pamoja na miradi mingine mingi vyote hivyo vinafanyika kwa kutumia mapato ya ndani wilaya ya Hai hivi sasa kazi kubwa inafanyika kwa kutumia fedha kutoka serekali kuu na mapato ya ndani ya Halmashauri” ameongeza Myinga.

Mkoa wa Kilimanjaro umepokea zaidi ya bilioni 2 za ujenzi wa madarasa 125 kutoka serekali kuu huku wilaya ya Hai ikiwa imepokea kiasi cha shilingi 200 kati ya hizo kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 10.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA YA UDEREVA March 28, 2025
  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI December 20, 2024
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA HAI 2024 December 03, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA October 29, 2024
  • Ona Yote

Habari Mpya

  • Shule Ya Msingi Nguzo Nne Yashika Nafasi Ya Pili Kwa Usafi

    April 09, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Wananchi Wa Hai Wapo Tayari Kwa Uchuguzi

    April 05, 2025
  • Mkuu Wa Wilaya Ya Hai Ameongeza Anna Boniface

    March 24, 2025
  • Ona Yote

Video

UGAWAJI WA PIKIPIKI WILAYA YA HAI
Vidio Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Planrep
  • TANEPS
  • Mfumo wa Ajira za Afya
  • Blog ya Wilaya
  • Fomu ya Maombi ya Likizo
  • Fomu ya OPRAS - Walimu
  • Fomu ya OPRAS - Watumishi
  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba Shule za Wilaya ya Hai Mwaka 2020
  • Muundo wa Halmashauri

Viunganishi Vinavyohusiana

  • BARUA PEPE YA MALALAMIKO
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya serikali
  • TAMISEMI
  • Mfumo wa Bajeti

Watembeleaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Kitongoji cha Bomani

    Anuani ya Posta: 3 RD TTCL RC CHURCH 25382, P.O BOX 27 Hai

    Simu: 0754553560

    Simu ya Mkononi: 0754553560

    Barua Pepe: ded@haidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Hai